Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha tano 2025
Elimu

Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha tano 2025

Selection Form Five 2025/2026 (Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2025 na Vyuo vya Kati)
BurhoneyBy BurhoneyApril 9, 2025Updated:April 10, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Selection Form Five 2025/2026 (Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2025 na Vyuo vya Kati)
Selection Form Five 2025/2026 (Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2025 na Vyuo vya Kati)
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Kila mwaka baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne, hatua inayofuata kwa wanafunzi waliofaulu ni kupangiwa shule za sekondari za kidato cha tano au vyuo vya ufundi. Hii ni sehemu muhimu ya mpito kutoka elimu ya sekondari ya chini kwenda sekondari ya juu. Mwaka huu wa 2025, wazazi na wanafunzi wanasubiri kwa hamu majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano, maarufu kama Form Five Selections 2025.

Majina ya Selection za Form Five 2025 Yanatoka Lini?

Kwa kawaida, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (MoEST) hutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano miezi miwili hadi mitatu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne.

 Matarajio ya kutolewa kwa selection za Form Five 2025 ni kati ya mwezi Mei na Juni 2025.

Kwa hivyo, ni muhimu wanafunzi na wazazi kufuatilia tovuti rasmi ya NECTA (www.necta.go.tz) au TAMISEMI (www.tamisemi.go.tz) kwa taarifa rasmi.

Vigezo Vilivyotumika Kupangiwa Shule

Wanafunzi hupangiwa shule za kidato cha tano au vyuo vya ufundi kwa kuzingatia mambo yafuatayo:

  1.  Alama za ufaulu (divisions na point za masomo)

  2.  Tahasusi (combination) aliyochagua wakati wa fomu ya uchaguzi

  3.  Uwepo wa nafasi katika shule au chuo alichoomba

  4.  Usawa wa kijiografia – ili wanafunzi wasipangiwe shule mbali sana na walipo

  5.  Ushindani wa shule husika – shule bora huwa na ushindani mkubwa zaidi

  6.  Jinsia – baadhi ya shule ni maalum kwa jinsia moja

Jinsi ya Kuangalia Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Form Five 2025

Jinsi ya Kuangalia Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Form Five 2025

Wanafunzi wanaweza kuangalia majina yao kupitia hatua hizi rahisi:

SOMA HII :  Imani College of Health and Allied Sciences Online Application for Admission

Njia #1: Kupitia Tovuti ya TAMISEMI

  1. Tembelea tovuti: www.tamisemi.go.tz .kiungo https://selform.tamisemi.go.tz/content/selection-and-allocation/

  2. Bonyeza sehemu iliyoandikwa “Form Five Selection 2025”

  3. Chagua mkoa → halmashauri → shule ya sekondari ya mwanafunzi

  4. Tafuta jina la mwanafunzi kwenye orodha

Njia #2: Kupitia Link za Moja kwa Moja

Wakati mwingine TAMISEMI huweka link ya haraka (direct link) ambayo inakupeleka moja kwa moja kuangalia shule uliyochaguliwa.

Kupitia Linki za Mikoa hii itakuwezesha kuona matokeo ya uchaguzi moja kwa moja na kwa urahisi zaidi.

ARUSHADAR ES SALAAMDODOMA
GEITAIRINGAKAGERA
KATAVIKIGOMAKILIMANJARO
LINDIMANYARAMARA
MBEYAMOROGOROMTWARA
MWANZANJOMBEPWANI
RUKWARUVUMASHINYANGA
SIMIYUSINGIDASONGWE
TABORATANGA

Fomu za Maelezo ya Shule (Form five Joining Instructions)

Baada ya mwanafunzi kupangiwa shule, anapaswa kupakua fomu ya maelezo ya kujiunga (Joining Instructions) ya shule hiyo.

Maelezo ya Joining Instruction ni pamoja na:

  • Tarehe ya kuripoti shuleni

  • Vifaa vinavyotakiwa (mavazi, vitabu, mashuka, nk.)

  • Ada au michango ya shule

  • Kanuni na taratibu za shule

  • Mahitaji ya kiafya (chanjo, taarifa ya daktari, nk.)

Kupakua Fomu:

  1. Tembelea tovuti ya TAMISEMI au shule husika

  2. Pakua PDF ya fomu ya shule uliyochaguliwa

  3. Chapa (print) na iwasilishwe pamoja na mwanafunzi siku ya kuripoti

Soma Hii : Tamisemi Selform MIS Jinsi ya Kubadilisha Combination za Form five

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara (FAQ) Kuhusu Form Five Selections

1. Nifanyeje kama sijachaguliwa Form Five?

  • Unaweza kuomba nafasi kwenye vyuo vya ufundi au kozi za VETA.

  • TAMISEMI pia hutoa awamu ya pili ya uchaguzi (Second Selection).

2. Naweza kubadilisha shule niliyochaguliwa?

  • Kwa kawaida hapana, lakini kuna utaratibu maalum wa Transfer kwa sababu maalum kama afya au umbali.

SOMA HII :  Mzumbe University (MU) Admission Letter

3. Je, naweza kuona majina ya wengine?

  • Ndiyo. Majina yote huwekwa wazi kulingana na shule au halmashauri.

4. Joining Instructions lazima nichukue wapi?

  • Kupitia tovuti ya TAMISEMI au tovuti ya shule husika.

5. Nikikosa kuripoti kwa wakati, nitatolewa?

  • Ndio, unaweza kupoteza nafasi yako. Ni muhimu kuripoti ndani ya muda uliopangwa.

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) Arusha courses offered

December 25, 2025

Mzumbe University (MU)

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Contact Details Number na Address

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Prospectus PDF Download

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Admission Letter

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Joining Instruction PDF Download

December 25, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.