Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya kulipa kwa Control Number
Biashara

Jinsi ya kulipa kwa Control Number

Malipo kwa kutumia mfumo wa kieletroniki (Government e-Payment Gateway)
BurhoneyBy BurhoneyMarch 17, 2025Updated:March 17, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya kulipa kwa Control Number
Jinsi ya kulipa kwa Control Number
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Mitandao ya Simu na Benki mbalimbali ziliopo nchini Hutoa hupokea huduma ya Malipo ya serikali kwa Control namba Hapa tunaangazia Jinsi ya kulipa kwa Contro number kwa kutumia tiGO Pesa au mix by yas ,Lipa kwa Control namba kwa kutumia Mpesa na Lipa kwa Control number kwa Airtel money ,CRDB Bank .

Njia za Kulipa kwa Control Number

M-Pesa

  1. Piga *150*00#.
  2. Chagua 6 ‘Huduma za kifedha’.
  3. Chagua 2 ‘Mpesa kwenda Benki’.
  4. Chagua 1 ‘Kwenda CRDB’.
  5. Chagua 2 ‘Weka Control Number’.
  6. Ingiza Control Number yako (Mfano: C0000000102301).
  7. Weka kiasi unachotaka kulipa.
  8. Weka namba yako ya siri.
  9. Chagua 1 ‘Kubali’ ili kuthibitisha malipo.

Tigo Pesa

  1. Piga *150*01#.
  2. Chagua 4 ‘Lipa Bili’.
  3. Chagua 3 ‘Ingiza Namba ya kampuni’.
  4. Ingiza namba ya kampuni (Mfano: 900600).
  5. Weka Control Number yako.
  6. Weka kiasi unachotaka kulipa.
  7. Weka Namba ya Siri.
  8. Chagua 1 ‘Kubali’ ili kuthibitisha malipo.

Airtel Money

  1. Piga *150*60#.
  2. Chagua 1 ‘Tuma Pesa’.
  3. Chagua 4 ‘Tuma Kwenda Benki’.
  4. Chagua 2 ‘CRDB’.
  5. Chagua 2 ‘Lipa kwa Namba ya Malipo’.
  6. Ingiza Control Number yako.
  7. Weka kiasi cha pesa.
  8. Weka neno la siri.
  9. Thibitisha malipo.

CRDB Bank (SimBanking)

  1. Chagua ‘Malipo’.
  2. Chagua ‘Malipo Zaidi’.
  3. Chagua ‘CCM Payment’ au huduma nyingine unayolipia.
  4. Ingiza Control Number.
  5. Pata Taarifa na hakiki.
  6. Weka Kiasi.
  7. Endelea na thibitisha malipo.

SOMA HII :  Biashara Unazoweza kufanya Kwa mtaji wa 200000 (Laki Mbili) Zenye Faida Kubwa
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Jinsi ya Kuanza Biashara ya Hardware: Mwongozo Kamili kwa Mwanzo

November 28, 2025

Gharama za leseni ya biashara

November 28, 2025

Mashine Za Kukamua Alizeti na Bei zake

November 25, 2025

Top 10 best Clearing and Forwarding companies in Tanzania

September 13, 2025

List of clearing and forwarding companies in Dar es Salaam Tanzania

September 13, 2025

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.