Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Sababu Kwanini mwanamke anapata maumivu wakati wa tendo na Tiba yake
Maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspareunia) ni tatizo linaloathiri wanawake na wanaume, ingawa mara nyingi linawapata zaidi wanawake. Maumivu haya yanaweza kuwa ya muda mfupi au ya muda mrefu [Read Post]
