JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Azam tv Namba za simu za Huduma kwa Wateja

Azam tv Namba za simu za Huduma kwa Wateja

Kwa msaada wa huduma kwa wateja wa Azam TV, unaweza kuwasiliana nao kupitia namba zifuatazo:

  • Vodacom: 0764 700 222
  • Airtel: 0784 108 000
  • Tigo: 0659 072 002

Pia, unaweza kutuma barua pepe kwa info@azam-media.com au kutembelea ofisi zao zilizopo Plot 46/4 Nyerere Road, Dar es Salaam.

Kwa masuala yanayohusiana na huduma ya Azam MAX, unaweza kuwasiliana kupitia WhatsApp kwa namba 0677 99 66 44 au barua pepe appsupport@azam-paytv.com.

Kwa maelezo zaidi, unaweza kutembelea ukurasa wao wa ‘Wasiliana Nasi’ hapa:

AZAM MAX APP HUDUMA KWA WATEJA

Azam tv Namba za simu za Huduma kwa Wateja

Mpendwa mteja,

Kwa mawasiliano ya App yako ya AzamTV MAX tafadhali wasiliana nasi kwa njia zifuatazo:

📞 WhatsApp pekee: 0677 99 66 44

📧 Email: appsupport@azam-paytv.com

📸 Instagram: @azamtvmaxapp

📱 Namba za Huduma kwa Wateja:

●0784 108 000
●0764 700 222
●0659 072 002

Karibu tukuhudumie!

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Share.

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Leave A Reply