Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma
Biashara

Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma

BurhoneyBy BurhoneyMarch 19, 2025Updated:March 19, 2025No Comments1 Min Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma
Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Safari ya za ndege Hurahisisha Safari kwa kuokoa muda kutokana na uharaka wa mwendo wa ndege ,Precision Air ni miongoni mwa makampuni ya Ndege yanayofanya safari zake kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma Hapa tumekuwekea Gharama kamili za Nauli.

Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma

Tiketi ya Uchumi

$72 – $90

Bei hutegemea msimu na upatikanaji wa tiketi

Tiketi ya Biashara

$134 – $150

Inajumuisha huduma za ziada kama vile vinywaji na kifungua kinywa

Tiketi ya Daraja la Kwanza

$150 na zaidi

Inajumuisha huduma za kifahari kama vile sehemu za mapumziko za kipekee

Maelezo ya Safari

  • Muda wa Safari: Safari ya moja kwa moja kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma inachukua takriban saa 1 na dakika 15.
  • Umbali wa Safari: Umbali wa anga kati ya miji hii miwili ni takriban kilomita 389.17.

Soma Hii :Bei ya TV za Hisense Inch 32 Smart TV Zanzibar na Tanzania

Msimu wa Safari

  • Msimu wa Bei Nafuu: Agosti ni mwezi ambapo nauli huwa nafuu zaidi kutokana na idadi ndogo ya wasafiri.
  • Msimu wa Bei Juu: Oktoba ni mwezi ambao nauli huwa juu zaidi kutokana na ongezeko la wasafiri.

Unaweza kukata Ticketi yako kupitia website ya Precision Air au  Trip.com

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.