Maswali ya Usaili TRA Written na Oral

Maswali ya Usaili TRA Written na Oral
Maswali ya Usaili TRA Written na Oral

Jiandae na Usaili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kupitia Maswali mbalimbali ambayo wanapenda kuyauliza katika Interview zao ili ujiweke katika asilimia za kushinda na kupenya kwenye Usaili.

Aina za Interview za TRA

Mamlaka ya mapato Tanzania huwa na aina  mbili za Usaili ambazo ni Usaili wa kuandika (Mtihani wa maswali manne) na usaili wa Ana kwa ana.

Usaili wa Kuandika TRA: Huu ni Usaili wa awali ambao una mfumo wa usaili ambao watainiwa walioitwa kwenye Usaili hufanya mtihani wa kujieleza na sio maswali ya kuchagua.

Usaili wa Ana kwa Ana : Mara baada ya Kufaulu kwenye Usaili wa awali watainiwa huitwa katika usaili wa pili wa mahojiano ya ana kwa ana ama oral.

SOMA HII :Fomu za Kujiunga na Chuo cha Ufundi VETA 2025 PDF

Maswali ya Usaili TRA na Material mbalimbali

Maswali ya Usaili TRA na Material mbalimbali

Bonyeza hapa ku-download maswali yote na vitabu katika PDF

SOMA HII :  Chuo cha Ualimu Songe Teachers College Fees (Kiwango cha Ada)
About Burhoney 4806 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati