Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga
Biashara

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga

BurhoneyBy BurhoneyMarch 15, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga
Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kutengeneza sabuni ya unga nyumbani au kwa biashara ni wazo zuri linaloweza kukupa fursa ya kufanya biashara yenye manufaa, huku ukitoa bidhaa za asili na zenye ubora. Katika makala hii, tutakuonyesha hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza sabuni ya unga, ikiwa ni pamoja na viungo unavyohitaji, vifaa, na mchakato mzima.

MAHITAJI MUHIMU.

.Optical bytina.

.sodium carbonate.

.sulphonic acid.

.Sodium sulphate.

.Hoda ash.

.Hydrogen peroxide.

.Rangi.

.Perfume.

KifaaKiasi
Sodium hydroxide1 kg
Maji3 lita
Mafuta ya alizeti2 lita
Sulphonic acid200 g
Sodium carbonate100 g
Rangi (hiari)Kiasi kidogo

JINSI YA KUTENGENEZA.

Andaa chombo chochote kinachoendana na wingi wa sabuni unayotaka kutengeneza na anza kutengeneza kwa kufuata hatua zifuatazo.

.weka sodium carbonate kwenye chombo ulichoandaa kg2 na nusu.

.Baada ya hapo weka optical bytina vijiko kumi(10)vya chakula.

.halafu weka sodium sulphate vijiko vitano vya chakula.

.weka soda ash kg7 na ukoroge kwa muda wa dakika kumi.

HATUA YA PILI.

.Sulphonic acid kilo 2 na nusu.

.nausa vijiko 15 vya chakula.

.Hydrogen peroxide kama ni ya unga weka kilo mbili kama ya maji weka lita mbili.

.rangi vijiko vitano vya chakula.

. changanya na perfume vijiko sita vya chakula.

.baada ya mchanganyiko huo anika kwenye kuvuli kwa kuwa juani inaweza kuyeyuka.sabuni yako itakauka kwa kujiachia.Kusanya weka kwenye mifuko tayari kwa kuuza.

ONYO:Baadhi ya malighafi ni acid kwahiyo umakini unatakiwa wakati wa kutengeneza,hakikisha mikono yako imelindwa kwa gloves na usishike acids au kula wakati unafanya kazi.Tafadhari watu wazima ndio wafanye kazi hii.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.