Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya kusajili kikundi cha Ujasiriamali online BOT au TAMISEMI
Biashara

Jinsi ya kusajili kikundi cha Ujasiriamali online BOT au TAMISEMI

Hatua za Kufuata ili kukamiisha Usajili wa kikundi cha Ujasiriamali BOT au Tamisemi pamoja na Fomu za kusajili kikundi
BurhoneyBy BurhoneyMarch 17, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya kusajili kikundi cha Ujasiriamali online BOT au TAMISEMI
Jinsi ya kusajili kikundi cha Ujasiriamali online BOT au TAMISEMI
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Je mnakikundi chenu cha Ujasiria mali mnatamani kukisajili TAMISEMI au BOT Makala hii itakupa muongozo hatua za Kufuata ili kusajili kikundi ,Vigezo pia utaweza Kupakua fomu katika PDF.

Hatua za Kusajili Kikundi cha Ujasiriamali Mtandaoni

Afisa Maendeleo ya Jamii ndiye Muhusika Mkuu katika kuhakikisha vikundi vinajengewa uwezo.

Afisa Maendeleo ya Jamii atawapatia Mafunzo na mwongozo wa uandaaji wa Katiba.

Afisa Maendeleo ya Jamii atawapatia fomu ya maombi ya usajili ambayo itajazwa na viongozi.

Fomu hiyo itapitishwa na Afisa Mtendaji wa Mtaa kikundi kilipo.Baada ya hapo itatakiwa kupata uthibitisho wa Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata Husika.

5. Baada ya Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata kupitia Fomu na kuridhika, ataiwasilisha fomu ya maombi Ofisi ya Mendeleo ya Jamii Manispaa ambako vyeti vya Usajili vitaandaliwa na kisha Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata husika atapatiwa na kuvipatia vikundi vyake.

Kuandaa Nyaraka Muhimu: Kabla ya kuanza mchakato wa usajili, hakikisha una nyaraka zote muhimu kama vile katiba ya kikundi, orodha ya wanachama, na muhtasari wa vikao vya kikundi.

Kuingia kwenye Mfumo wa Kielektroniki: Tembelea mfumo wa usajili wa vikundi vya kifedha unaosimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania kupitia tovuti ya cmg.bot.go.tz. Mfumo huu unaruhusu vikundi kuwasilisha maombi ya usajili kwa njia ya mtandao.

Kuwasilisha Maombi: Jaza fomu za maombi ya usajili na uwasilishe nyaraka zinazohitajika kupitia mfumo wa mtandaoni. Hakikisha umejaza taarifa zote kwa usahihi na umeambatanisha nyaraka zote zinazohitajika.

Kulipia Ada ya Usajili: Lipa ada ya usajili kama inavyotakiwa na mamlaka husika. Ada hii inaweza kulipwa kupitia benki au njia nyingine za malipo zilizowekwa na halmashauri husika.

Soma Hii : Jinsi ya kulipa kwa Control Number

Kupokea Cheti cha Usajili: Baada ya maombi yako kukubaliwa, utapokea cheti cha usajili kinachothibitisha kuwa kikundi chako kimesajiliwa rasmi. Cheti hiki kitakuruhusu kufanya shughuli zako kisheria na kufaidika na fursa mbalimbali za kifedha.

Fomu za Kusajili kikundi Online Tamisemi au BOT

FOMU YA USAJILI-Maendeleo ya jamii.pdf

MUUNDO WA KATIBA-maendeleo ya jamii.pdf

Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali

Ofisi ya Rais –  TAMISEMI kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeandaa mfumo wa kusajili wajasiriamali na watoa huduma wadogo.

Mfumo huu unawawezesha wajasiriamali na watoa huduma wadogo kujisajili na kuomba vitambulisho kwa njia ya mtandao.

Bofya hapa ili kujisajili na kuomba kitambulisho kwa njia ya mtandao

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.