Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya Kufunga Jina la Biashara na kutumia Jina Hilo Kufungua Kampuni Brela
Biashara

Jinsi ya Kufunga Jina la Biashara na kutumia Jina Hilo Kufungua Kampuni Brela

JE? Unajina la Biashara na Unatamani kutumia jina hilo kusajili Kampuni? JIBU NI INAWEZEKANA.
BurhoneyBy BurhoneyMarch 13, 2025Updated:March 13, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya Kufunga Jina la Biashara na kutumia Jina Hilo Kufungua Kampuni Brela
Jinsi ya Kufunga Jina la Biashara na kutumia Jina Hilo Kufungua Kampuni Brela
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kama unatamani Jina lako la biashara ndio liwe jina la kampuni yako yakupasa ufuate utaratibu huu hapa chini kuweza kubadilisha na kukamilisha usajili.

➡️ Hatua ya kwanza,utatakiwa kufunga jina la biashara. Jinsi ya Kufunga ni kama ifuatavyo
i) Ingia kwenye tovuti ya Brela,ingia sehemu ya majina ya biashara,nenda form za majina ya biashara, pakua form No.7 kisha uijaze

ii) Rudi kwenye akaunti yako ya ORS, kisha nenda sehemu ya kufunga jina la Biashara, utaulizwa sababu za kufunga jina la biashara jaza na upakue form ya majumuisho (Consolidated Form) ijaze kishaiweke kwenye mfumo pamona na ile form No.7

iii) Fanya malipo ya Tshs 15,000/= Tuu, maombi yako ya kufunga jina la biashara yatakuwa yamepokelewa.

➡️ Hatua ya Pili, Andaa katiba ya kampuni,na sehemu ya shughuli za kampuni mwanzoni ktk kifungu namba 3 utaandika kuwa kampuni itachukua madeni na mali ya jina la biashara ambalo lilikuwa na usajili nambali fulani.

Vitu vingine vya kuwa navyo nikama ifuatavyo
i) Katiba ya kampuni
ii) Anuani ya eneo kampuni ilipo
iii) Majina ya wanahisa na hisa zao
iv) NIDA za wakurugenzi na wanahisa
v) TIN za wakurugenzi
vi) Form ya Majumuisho
vii) Form ya maadili.

SOMA HII :Jinsi Ya Kufunga Biashara TRA

Kama unajina lako la Biashara na unatamani kulitumia kufungua kampuni, basi usisite kuwasiliana nasisi kwa maswali au msaada zaidi. Tupo kwaajili yako.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025

Matokeo ya Usaili Ajira Portal 2025 / 2026 Utumishi wa Umma PSRS

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.