Browsing: Biashara

Biashara

Tanzanite ni mojawapo ya madini adimu zaidi duniani na inapatikana Tanzania pekee, hususan katika mji wa Mererani, Manyara. Jiwe hili la thamani limevutia wawekezaji, wabunifu wa vito, na wanunuzi kutoka pande zote za dunia. Lakini je, bei ya Tanzanite inakuwaje sokoni? Katika makala hii, tutajadili viwango vya bei, mambo yanayoathiri bei, na wapi pa kununua Tanzanite kwa gharama nafuu. Vigezo vya Bei Bei ya Tanzanite hutegemea vigezo kadhaa muhimu: 1. Ubora wa Rangi Tanzanite yenye rangi ya zambarau iliyokolea huwa na bei ya juu zaidi. Rangi nzuri hutokana na mchakato wa kuchemsha (heating) ambao huifanya ipate rangi ya kuvutia zaidi.…

Read More

Vijana wengi siku za hivi karibuni wamekuwa wakichangamkia fursa ya kuwekeza Pesa zao katika mfuo wa UTT Asset Management and Investor Services Plc (UTT AMIS) ndio mana nimepata msukumo kuwaandalia hii makala ya muongozo jinsi ya kujiunga UTT. Chagua Mfuko wa Uwekezaji Unaotaka UTT AMIS ina mifuko kadhaa ya uwekezaji, kila mmoja ukiwa na sifa tofauti. Kabla ya kujiunga, chagua mfuko unaolingana na malengo yako ya kifedha: Umoja Fund – Mfuko wa muda mrefu kwa wanaotaka ukuaji wa mtaji. Liquid Fund – Mfuko wa muda mfupi wenye ukwasi wa haraka. Bond Fund – Mfuko wa uwekezaji kwenye hati fungani za…

Read More

Fahau Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS,Ununuzi wa Vipande utt unaweza ukakamilisha kwa kutumia huduma za kifedha za simu za mkononi au kupitia Benki. Ununuji wa Vipande Vya UTT AMIS kwa kutumia mitandao ya Simu Kama unahitaji kufanya uwekezaji wako kwa kutumia njia ya mitandao ya simu basi unaweza kufuata hatua hizi hapa kwa kila mtandao wa simu 1. Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Mtandao wa M-Pesa kwa kutumia mtandao wa vodacom (M-Pesa) fuata hatua zifuatazo Ingia kwenye simu yako na upige *150*00# 1. Kisha chagua Lipa kwa M-Pesa 2. Chagua kwenye orodha 3. Kisha bonyeza…

Read More

UTT Asset Management and Investor Services Plc (UTT AMIS) inasimamia mifuko mbalimbali ya uwekezaji inayowapa wawekezaji fursa ya kukuza mitaji yao. Kila mfuko una bei ya kipande inayobadilika kulingana na thamani ya mali halisi (Net Asset Value – NAV) ya mfuko husika. Mifuko ya Uwekezaji Inayotolewa na UTT AMIS Kuna aina kuu sita za mifuko ya uwekezaji inayotolewa na kampuni ya uwekezaji ya UTT AMIS. Mifuko hiyo ni pamoja na; Umoja Fund Wekeza Maisha Fund Watoto Fund Jikimu Fund Liquid Fund Bond Fund Mfuko wa Umoja Fund Hapa chini tutaneda kuangalia taarifa kamili za mfuko wa Umoja Fund mfuko uliokua…

Read More

Benki ya CRDB inatoa aina mbalimbali za mikopo kwa wateja wake, kila mmoja ukiwa na vigezo na sifa maalum. 1. Mkopo wa Wafanyakazi Mkopo huu unalenga wafanyakazi wa serikali na sekta binafsi wenye mahitaji ya kifedha kama kuanzisha biashara, kujiendeleza kielimu, au kununua mali. Sifa na Vigezo: Kiasi cha Mkopo: Hadi TZS 100,000,000 Muda wa Marejesho: Hadi miaka 7 Kiwango cha Riba: Kati ya 14% – 16% kwa mwaka Dhamana: Haitajiki Mahitaji: Mwombaji awe ameajiriwa na mshahara wake upitie Benki ya CRDB Kiasi cha chini cha mkopo ni TZS 1,500,000 Mkopo hutolewa ndani ya saa 24 baada ya maombi kukamilika…

Read More

Fahamu Utaratibu rahisi wa wananchi kujiunga na Bima ya Afya kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ,Makala hii tumeelezea pia namna sahihi ya Ujazaji wa fomu ya Bima ya afya NHIF. Mahitaji ya Kujiunga Kipengele Mahitaji Mchangiaji Hati ya mshahara, picha ya pasipoti Mwenza Cheti cha ndoa, picha ya pasipoti Watoto Vyeti vya kuzaliwa, picha za pasipoti Wazazi/Wakwe Cheti cha kuzaliwa cha mchangiaji, picha za pasipoti Malipo TZS 340,000 kwa kaya ya watu sita kwa mwaka Hatua za Kujiunga na NHIF Kujaza Fomu za Maombi: Tembelea ofisi ya NHIF iliyo karibu au tovuti yao ili kupata fomu za maombi. Jaza fomu…

Read More

M-Pesa, huduma ya kifedha ya Vodacom Tanzania, inaruhusu wateja kuweka na kutoa pesa kupitia mawakala wake waliopo nchi nzima. Ni muhimu kufahamu ada zinazotozwa ili uweze kupanga matumizi yako vizuri. Kuweka Pesa kwa Wakala: Hakuna ada yoyote inayotozwa unapoweka pesa kwenye akaunti yako ya M-Pesa kupitia wakala. Hii inamaanisha unaweza kuweka kiasi chochote cha pesa bila gharama ya ziada. Ada za Kutoa Pesa kwa Wakala: Ada za kutoa pesa kupitia wakala zinategemea kiasi unachotoa. Hapa chini ni viwango vya makato kulingana na kiasi cha muamala: 200 – 499 Tsh: 15 Tsh 500 – 999 Tsh: 30 Tsh 1,000 – 1,999…

Read More

Huduma ya Lipa Namba ya M-Pesa inakuruhusu kufanya malipo kwa wafanyabiashara kwa urahisi, usalama, na haraka bila kutumia pesa taslimu. Hatua za Kulipa kwa Lipa Namba Kupitia USSD Piga Namba: Dial *150*00# kwenye simu yako. Chagua Huduma: Chagua “4” kwa ajili ya Lipa kwa M-Pesa. Chagua Lipa Kwa Simu: Chagua “1” kwa Lipa Kwa Simu. Ingiza Lipa Namba: Andika Lipa Namba ya mfanyabiashara unayetaka kumlipa. Ingiza Kiasi: Andika kiasi cha pesa unachotaka kulipa. Ingiza Namba ya Siri: Weka namba yako ya siri ya M-Pesa ili kuthibitisha malipo. Thibitisha Jina la Biashara: Hakikisha jina la biashara linatokea sahihi kabla ya kuthibitisha…

Read More

Hati fungani za serikali ni njia bora ya kuwekeza kwa usalama na kupata faida kupitia riba inayotolewa na serikali. Soko la Dhamana za Serikali za Muda Mfupi Hatifungani za muda mfupi ni dhamana za serikali za muda mfupi ambazo hutolewa na kuiva chini ya mwaka mmoja. Hatifungani za muda mfupi zinatumika kama zana za muda mfupi kupata fedha kwa ajili ya kuziba mapungufu katika bajeti na kusawazisha ujazi wa fedha katika soko. Kwa sasa, Benki Kuu hunadi hatifungani za muda mfupi kwa niaba ya Serikali ya Tanzania, hatifungani za muda mfupi ziko za aina nne – zinazoiva katika kipindi cha…

Read More

HaloPesa, huduma ya kifedha ya Halotel, inawawezesha wateja wake kupata kadi za malipo za kidijitali kama Visa au Mastercard kupitia simu zao za mkononi. Kadi hizi za kidijitali zinawawezesha watumiaji kufanya malipo mtandaoni na katika maduka yanayokubali Visa au Mastercard. Hatua za Kufuatwa Kutengeneza Haotel Master card Kupakua App ya HaloPesa: Pakua na sakinisha app ya HaloPesa kwenye simu yako kutoka Google Play Store au Apple App Store. Kujisajili au Kuingia: Kama hujasajiliwa, fuata maelekezo ya kujisajili kwa kutumia namba yako ya simu. Kama tayari umesajiliwa, ingia kwa kutumia namba yako ya simu na nenosiri. Chagua Huduma ya Kadi: Baada…

Read More