Bei Mpya ya ng’ombe wa Kienyeji Mnadani

Bei Mpya ya ng’ombe wa Kienyeji Mnadani
Bei Mpya ya ng’ombe wa Kienyeji Mnadani

Bei ya ng’ombe wa kienyeji katika minada mbalimbali nchini, ikiwemo Dar es Salaam, inategemea mambo mengi ikiwemo uzito wa mnyama, ubora, msimu wa mwaka, na gharama za usafirishaji. Katika mnada wa Pugu, Dar es Salaam, bei ya ng’ombe wa kienyeji imekuwa ikibadilika kutokana na upatikanaji wa mifugo bora sokoni.

Bei ya Ng’ombe wa Kienyeji Mnadani

Morogoro

500,000 – 600,000 : Ng’ombe wenye uzito wa kuanzia 100kg.

Dodoma

450,000 – 550,000 :Bei inategemea msimu na ubora wa ng’ombe.

Arusha

600,000 – 700,000 : Ng’ombe wa maziwa na wa biashara.

Soma Hii :Bei ya karanga Dar es salaam

Kigoma

400,000 – 500,000 : Bei nafuu kutokana na ushindani wa soko.

Dar es Salaam

580,000 – 700,000 :Bei ya juu kutokana na gharama za usafirishaji.

 

SOMA HII :  Mikopo ya CRDB kwa Wajasiriamali
About Burhoney 4806 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati