Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Dalili za mvurugiko wa hedhi
Mzunguko wa hedhi wa kawaida huwa kati ya siku 21 hadi 35, huku damu ikitoka kwa muda wa siku 2 hadi 7. Hata hivyo, sio wanawake wote hupitia mzunguko wenye [Read Post]
