Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Nini Maana ya Korona?
Korona ni jina linalotumika kuelezea familia ya virusi vinavyojulikana kama Coronaviruses (CoV). Virusi hivi huathiri zaidi mfumo wa upumuaji wa binadamu na wanyama. Neno korona limetokana na neno la Kilatini [Read Post]
