Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Kutokwa na Maziwa ni Dalili ya Ujauzito?
Kutokwa na maziwa, pia huitwa uvujaji wa colostrum au maziwa ya mwanzo, ni miongoni mwa mabadiliko ya kawaida yanayoweza kutokea mwilini mwa mwanamke wakati wa ujauzito. Ingawa si dalili ya [Read Post]
