Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya Kukata tiketi ya bus online
Biashara

Jinsi ya Kukata tiketi ya bus online

(Tiketi za mabasi ya mikoani online booking)
BurhoneyBy BurhoneyMarch 18, 2025Updated:March 18, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya Kukata tiketi ya bus online
Jinsi ya Kukata tiketi ya bus online
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kwa wasafiri wa Mabasi ya Mkoani siku hizi Huna haja ya kuhangaika kwenda stendi ukasumbuane na wapiga debe sasa unaweza kata Tiketi ukiwa nyumbani kwako kwa kutumia simu yako Hapa tunakupa muongozo kamili.

Hatua za Kukata Tiketi Online

  1. Tembelea Tovuti au Programu: Chagua jukwaa kama Otapp, Tiketi.com, au Shabiby.
  2. Ingiza Taarifa za Safari: Chagua jiji la kuanzia na kushukia, tarehe, na idadi ya abiria.
  3. Chagua Basi: Linganisha muda wa kuondoka, bei, na aina ya basi (kwa mfano, na A/C au choo).
  4. Malipo: Tumia njia kama M-Pesa, benki, au kadi ya mkopo.
  5. Pokea Tiketi: Tiketi itatuma kwenye simu au barua pepe yako.

Umuhimu wa Huduma Ya Kukata Tiketi Mtandaoni

  1. Kuepuka foleni ya ukataji wa tiketi
  2. Huchukua mda mfupi zaidi
  3. Usalama wa kifedha
  4. uchaguzi wa siti ya basi
  5. Kuepusha gharama

Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

Makampuni baadhi ya usafirishaji kwa njia ya basi wameweza kurahisisha mchakato wa ukataji wa tiketi za mabasi kwa kuanzisha mifumo ya mdandaoni ya ukataji wa tiketi. Hapa tutaenda kuangazia baadhi ya makampuni na jinsi unavyoweza kukata tiketi kupitia makampuni hayo

Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

1. Abood Bus Service

Abood ni moja kati ya kampuni za mabasi kubwa na za muda mrefu kama wewe ni msafiri kwenye mkoa ambao basi za Abood zinafanya safari zake basi habari njema ni kua kwa kutumia simu au kifaa chako chenye uwezo wa kuindia mtandaoni unaweza kukata tiketi ya safari yako. Cha kufanya fuata hatua zifuatazao;

  1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Abood Bus Service kwa kutumia link hii hapa – https://aboodbus.co.tz/
  2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Abood jaza taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
  3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Search”
  4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli
  5. Kisha bonyeza neno “Book Tiket”
  6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “proceed”
  7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.

2. Shabiby Line

kwa wasafiri wa kampuni ya Shabiby  line, kampuni hii pia inamfumo wa ukataji tiketi kwa njia ya mtandao kupitia tovuti yao, cha kufanya fuata hatua zifuatazo hapa chini ili kukata tiketi ya basi ya Shabiby Line.

Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

  1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Shabiby Line kwa kutumia link hii hapa – https://shabiby.co.tz
  2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Shabiby Line nenda kwenye upande wa NUNUA TIKETI na ujaze taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
  3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Angalia Ratiba”
  4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli na daraja la basi
  5. Kisha bonyeza neno “Nnua Tiketi”
  6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “Hifadhi Tiketi”
  7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.

3. Happy Nation

Kampuni ya mabasi ya Happy Nation nayo ni miongoni mwa kampuni za usafirishaji zenye kutoa huduma ya ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao, ili kuweza kukata tiketi ya basi katika kampuni ya Happy Nation kwa njia ya mtandao tafadhari fuata hatua zifuatazo;

Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

  1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Shabiby Line kwa kutumia link hii hapa – https://www.happynation.co.tz/
  2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Happy Nation jaza taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
  3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Tafuta Basi”
  4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli na daraja la basi
  5. Kisha bonyeza neno “Nnua Tiketi”
  6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “Hifadhi Tiketi”
  7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.

Video: Jinsi Ya Kukata Ticket Za Mabasi Online

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.