Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Wauzaji Wa Cakes Nzuri Kigamboni kwa Gharama Nafuu
Makala

Wauzaji Wa Cakes Nzuri Kigamboni kwa Gharama Nafuu

Usiwaze tena kuhusu Cakes za Shughuli yako kama vile Birthday,kitchen party,Cakes za Harusi,Cakes za Ubarikio,Cakes za Shughuli mbalimbali Kwa Wakazi wa kigamboni na Viunga yake Hawa hapa wanajiit Nory cakes Hutajutia hela yako
BurhoneyBy BurhoneyMay 3, 2025Updated:May 3, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Wauzaji Wa Cakes Nzuri Kigamboni kwa Gharama Nafuu
Wauzaji Wa Cakes Nzuri Kigamboni kwa Gharama Nafuu
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kama Una birthday,Kitchen party,Harusi,Ubarikio au Shughuli yoyote inayohitaji Cakes Mitaa ya kigamboni na Viunga Vyake Basi Usijali Tumefanya Researh na kukuletea Wauzaji ambao Hupika cakes Tamu zenye kiwango lakini kwa Gharama Nafuu zaidi.

Hawa Hapa Wauzaji Mahiri wa Cakes za Graduation kwa Bei Rafiki kabisa Wanaitwa Nory Cakes

Waandaaji wa Makala hii Wamefanya Utafiti wa Ubora wa Cakes na Bei kwa Wauzaji Mbalimbali wa Cakes Kigamboni Jijini Dar es salaam na Kujaribu kulinganisha Bei,Ubora wa mapambo ya Cake na Ladha Moja ya Bakery ambaye ameonekana akiwa na Bei ya chini na Cake nzuri ni huyu anayeitwa NORY CAKES

Kabla ya kuandaa makala hii tulijaribu  Kufanya utafiti kwa Baadhi ya watengeza keki kwa kuwapigia simu kujifanya ni wateja wa cake lengo ni kujua Gharama za keki wengi walikuwa na bei ghari Lakini tulimpata Huyu mmoja anajiita Norycakes Ambaye Bei zake ni Rafiki na Keki zake ni tamu

Soma Hii: Wauzaji Wa Cake Nzuri za Graduation kwa Gharama Nafuu Dar es salaam

Kwanini Nory Cakes ndio Bora kwa Wauzaji wa Cakes Dar es salaam?

Kwanini Nory Cakes ndio Bora kwa Wauzaji wa Cakes Dar es salaam?

Gharama zake ni Rafiki kulingana na Bajeti ya Mteja

Cake zake tamu na nimchambuko yani zinachambuka

Unaweza kwenda na Aina yako ya cake unayoitaka au pia anaweza kukushauri kukuchagulia cake Bora

Utaratibu wake wa kuweka Oda ni mzuri yani anatengeneza keki kutokana na oda (Huuziwi keki zilizolala) Mteja analipia nusu ya Gharama kisha ukiletewa keki yako unamalizia Nusu nyingine.

Hizi Hapa Miongoni mwa Keki Alizowatengenezea Wateja Mbalimbali

Hizi Hapa Miongoni mwa Keki Alizowatengenezea Wateja Mbalimbali

Jinsi ya Kuwasiliana na Nory Cakes kuweka Oda ya keki

Instagram : Nory_Cakes

Facebook: Nory Cakes

WhatsApp: 0757296935 (Bonyeza Hapa kuwasiliana na Nory cakes WhatsApp)

Mobile  : 0757296935  /  0655471991

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Chanzo cha uchawi duniani

June 14, 2025

Chanzo cha meli ya titanic kuzama

June 14, 2025

Chanzo cha vita urusi na ukraine

June 14, 2025

Majina ya Form Six Waliochaguliwa Kujiunga na JKT Kwa Mujibu wa Sheria 2025

May 27, 2025

100+ misemo maarufu kuhusu maisha

May 25, 2025

Misemo ya dharau ya kuchekesha na ya kupost status

May 24, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.