Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Vyakula Bora Vya Kula Kabla Ya Tendo La Ndoa
Mahusiano

Vyakula Bora Vya Kula Kabla Ya Tendo La Ndoa

BurhoneyBy BurhoneyApril 1, 2025Updated:April 1, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Vyakula Bora Vya Kula Kabla Ya Tendo La Ndoa
Vyakula Bora Vya Kula Kabla Ya Tendo La Ndoa
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Katika kila uhusiano, kumaliza siku na tendo la ndoa kunaweza kuwa ni wakati wa kipekee na wa furaha. Hata hivyo, ili kuhakikisha kuwa unapata uzoefu mzuri, ni muhimu kuzingatia mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kile unachokula kabla ya tendo la ndoa. Vyakula bora vinaweza kusaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa, kuboresha mtindo wa maisha na kuhakikisha kuwa mwili wako uko katika hali bora.

▪️ Chaza,
Chaza au kwa kitaalamu huitwa Oyters ni aina ya samaki mwenye gamba gum ambae hupataikana Bahraini,

Chaza ni samamki ambao wana madini aina ya protini, magnisieum na madini ya zinc kwa wingi kuliko chakula chochote,

Madini ambayo tafiti zimeonesha kuwa na mchango mkubwa sana katika kutibu Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume,

Kadhalika madini ya zinc yaliyomo katika samaki huyo aina ya Chaza,

Husaidia katika kuongeza hamu ya tendo la ndoa, kuimarisha na kukuza misuli ya mwili ikiwemo uume, pamoja na kuzalisha manii ya kutosha ( Sperm )

Tumia samaki huyu hasa hasa wakati wa usiku utanishkuru sana.

▪️ Komamanga,
Komamanga ni Tunda lenye mchango mkubwa katika kuongeza mood na hamu ya kushiriki tendo la ndoa,

Pia tunda hili husaidia katika kuboresha mzunguko wa damu na hivyo kufanya uume usimame vizuri.

Ukipata Juice yake itakua vizuri zaidi.

▪️ Chocolate.

Chocolate ni bidhaa ambayo kutokana na muonekano wake, ladha yake ya utamu,

Hupelekea kuzalishwa kwa Hormone iitwayo serotonini,

Homoni ambayo huleta hali ya mtu kuwa na furaha, pamoja na kujiskia vizuri ( well being ),

Pia chocolate ina chemical Ndani yake ambayo husaidia katika kuongeza matamanio na mahaba baina ya wanandoa.

Nb, usitumie kila siku inaweza kukusababishia tatizo la meno pia sukari iliyomo sio salama zaidi kiAfya. Tumia mara moja moja.

Soma hii :Jinsi ya kumshawishi mwanamke akupe penzi

▪️ Tiki tiki Maji,

Tunda hili la Tikitiki maji lina amino acid Ndani yake iitwayo citrulline,

Ambayo kazi yake ni kuzibua mishipa ya damu ili iweze kusafirisha damu vizuri,

Na hivyo kupelekea uume uweze kusimama vizuri.

▪️ Parachichi

Parachichi ni Tunda ambalo limesheheni mafuta mazuri pamoja na nyuzi nyuzi,

Mafuta hayo kazi yake kubwa ni kukupa nguvu ya mwili,

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Dalili 10 za Mwanamke Anayekupenda

June 12, 2025

Jinsi ya kumpata mwanamke mgumu

June 6, 2025

Jinsi ya Kumpata Mpenzi wa Kweli

June 6, 2025

Jinsi ya kupata hisia za mapenzi

June 3, 2025

Dawa ya kurudisha hisia kwa mwanamke

June 3, 2025

Jinsi ya Kutumia Viks Sex Lotion

May 28, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025

Matokeo ya Usaili Ajira Portal 2025 / 2026 Utumishi wa Umma PSRS

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.