Tume ya Utumishi wa Mahakama Yatangaza Nafasi za Kazi 331– Juni 2025

Tume ya Utumishi wa Mahakama Yatangaza Nafasi za Kazi 331– Juni 2025
Tume ya Utumishi wa Mahakama Yatangaza Nafasi za Kazi 331– Juni 2025

Tume ya Utumishi wa Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa tangazo rasmi la ajira mpya tarehe 3 Juni 2025. Fursa hizi ni kwa Watanzania wenye sifa stahiki, walio tayari kufanya kazi katika Mahakama ya Tanzania katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini.

Tangazo hili linatoa nafasi mbalimbali za ajira kwa kada tofauti, zikiwa na sifa na majukumu tofauti. Hii ni fursa adhimu kwa wale wanaotamani kuwa sehemu ya chombo muhimu cha utoaji haki nchini.

Orodha ya Nafasi Zilizotangazwa

KadaNafasiKituo cha KaziClosing Date
1CIVIL TECHNICIAN II (CARPENTER) Nafasi 3Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
2CIVIL TECHNICIAN II (PAINTER) Nafasi 3Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
3TECHNICIAN II (ELECTRICAL) Nafasi 4Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
4TECHNICIAN II (PLUMBING) Nafasi 6Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
5TECHNICIAN II (AIR CONDITION (HVAC) Nafasi 10Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
6TECHNICIAN II (WELDING AND FABRICATION TECHNICIAN) Nafasi 2Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
7MSAIDIZI WA OFISI Nafasi 42Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
8MLINZI Nafasi 3Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
9DEREVA II Nafasi 33Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
10MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA II Nafasi 46Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
11AFISA MWENDESHA OFISI DARAJA II Nafasi 5Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
12MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II Nafasi 80Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
13MPISHINafasi 8Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
14MSAIDIZI WA MAKTABA IINafasi 5Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
15MKUTUBI II Nafasi 2Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
16OPERETA WA KOMPYUTA MSAIDIZI Nafasi 8Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
17OPERATA WA KOMPYUTA II Nafasi 5Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
18MSAIDIZI WA HESABU II Nafasi 10Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
19AFISA UTUMISHI II Nafasi 10Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
20HAKIMU MKAZI II Nafasi 46Mahakama ya TanzaniaTuesday 17 June 2025
SOMA HII :  Jinsi ya Kutuma Maombi Ya Kazi TAKUKURU Katika PCCB ajira portal

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

[Soma: Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal, Serikalini na UTUMISHI 2025 ]

Maelekezo Muhimu kwa Waombaji

  • Maombi yote yatumwe kwa njia ya kielektroniki kupitia tovuti ya Tume ya Utumishi wa Mahakama: www.jsc.go.tz

  • Mwisho wa kutuma maombi: Tarehe 17 Juni, 2025

  • Waombaji wote lazima:

    • Wasilishe vyeti vya elimu, cheti cha kuzaliwa, picha (passport size), NIDA

    • Watie maelezo sahihi – taarifa za uongo zitapelekea kufukuzwa kazi

    • Wale waliopata ajira ya kudumu serikalini hawaruhusiwi kuomba

    • Wenye ulemavu wapewe kipaumbele – waeleze aina ya ulemavu wao

    • Umri wa kuomba: Miaka 18 hadi 45

Kwa maelezo zaidi:
Simu: 0734 219 821 au 0738 247 341
Barua pepe: maulizo.ajira@jsc.go.tz

About Burhoney 4807 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati