Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA
Ajira Mpya

Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA

Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Kutangazwa 25 Aprili 2025
BurhoneyBy BurhoneyApril 3, 2025Updated:April 3, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA
Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mamlaka ya Mapato Tanzania -TRA Wametangaza Tarehe Rasmi ya kutangaza Matokeo ya Usaili wa kuandika Uiofanyika kuanzia March 29 mpaka April 5 nchi nzima.

Akizungumzia mchakato huo leo Jumatano Aprili 2, 2025 Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala, Moshi Kabengwe amesema baada ya majina kutangazwa usaili wa vitendo na mahojiano utafuata.

Kabengwe amesema usaili wa vitendo utaanza Mei 2, 2025 hadi 4 kwa kada ya madereva na waandishi waendesha ofisi, huku usaili wa mahojiano kwa kada nyingine utafanyika kuanzia Mei 7 hadi 9.

Pia, ameeleza kuwa watakaofanikiwa kupita katika hatua hiyo wataarifiwa Mei 18, 2025 na kuanza mafunzo elekezi Mei 22 hadi Juni 2, 2025 watakapoajiriwa na kuanza kazi rasmi.

“Katika mchakato wa usaili maombi yaliyokidhi vigezo yalikuwa 112,952 yakaongezeka maombi 71 baada ya kukata rufaa na kufikisha idadi ya maombi 113,023 yaliyohusisha waombaji 86,314 na waliofanya usaili wa maandishi ni waombaji 78,544 sawa na asilimia 91 ya waombaji wote.

“Waombaji 7,770 sawa na asilimia 9 hawakufika kwenye usaili kwa sababu mbalimbali. Sera ya TRA ni ajira sawa kwa wote na zilizotangazwa zitazingatia sifa na vigezo vya muomba kazi bila kujali hali ya muhusika kwamba ni mtoto wa maskini, wa kiongozi au wa mtumishi wa umma, ndiyo maana vituo vya usaili viliwekwa kwenye mikoa minane na Zanzibar ili kusogeza huduma karibu,”amesema na kuongeza Kabengwe

 

Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA

Taarifa Kwa Umma kuhusu Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA

Ikumbukwe kuwa

Mamlaka ya Mapato Tanzania ilitangaza nafasi za kazi kuanzia tarehe 6 hadi 19 Februari, 2025, ambapo tarehe 21 Machi, 2025 Mamlaka ilitoa taarifa kwa umma kwamba baada ya kufunga zoezi la kupokea jumla ya maombi 135,027 yalipokelewa.

Soma Hii : Maswali ya Usaili TRA Written na Oral

Kati ya maombi hayo, maombi 112,952 yalikidhi vigezo vya kuitwa kwenye usaili wa kuandika na tarehe 23 Machi, 2025 Mamlaka ilitoa fursa ya siku mbili (24 na 25 Machi, 2025) kwa waomba kazi ambao walidhani walistahili kuitwa kwenye usaili wa kuandika ila hawakuitwa na baada ya kutolewa kwa fursa hiyo jumla ya maombi 71 yalikidhi vigezo na hivyo kufanya jumla ya maombi 113,023 kukidhi vigezo vya kufanya usaili wa kuandika.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025

Matokeo ya Usaili Ajira Portal 2025 / 2026 Utumishi wa Umma PSRS

June 12, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.