Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Simu za Mkopo Airtel
Makala

Simu za Mkopo Airtel

BurhoneyBy BurhoneyApril 1, 2025Updated:April 1, 2025No Comments1 Min Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Simu za Mkopo Airtel
Simu za Mkopo Airtel
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Airtel Wamewarahisishia maisha na kuwathamini Wateja wao kwa kuwaletea simu za mkopo ushirikiano na JUMO kwa Walokidhi Vigezo na Masharti na kuwaruhusu kulipa kidogo kidogo.

Simu Mpya ya Itel A80

Kampuni ya Airtel na Itel wamezindua simu ya Itel A80 kwa wateja wa Tanzania. Simu hii ina sifa za kisasa kama:

  • Skrini ya 6.7 inch yenye punch-hole
  • Betri ya 5000mAh inayodumu kwa muda mrefu
  • Kamera ya 13MP (nyuma) na 8MP (mbele)
  • Nafasi ya kuhifadhi data ya 128GB + 8GB RAM
  • 4G kwa kasi ya mtandao.

Soma Hii :Makato ya NBC bank kwa mwezi

Bei na Mikopo:

Wateja wanaweza kununua simu hii kwa Tsh 265,000/= kwa fedha taslimu au kwa mkopo kwa kianzio cha Tsh 55,000/=. Kwa kila malipo ya siku (Tsh 1,200), wateja wanapokea MB 250 bure kwa miezi sita.

Jinsi ya Kupata Simu za Mkopo Airtel

Jinsi ya Kupata Simu za Mkopo Airtel

Mchakato wa Maombi

  1. Piga *150*60# na fuata maelekezo kwenye menyu ya Airtel Timiza.
  2. Thibitisha taarifa zako (jina, nambari ya simu, akaunti ya Airtel Money).
  3. Chagua kiasi cha mkopo na muda wa malipo (siku, wiki, mwezi, au miezi sita).

Malipo na Marejesho

  • Malipo ya kiotomatiki: Kiasi hukatwa moja kwa moja kutoka kwa akaunti ya Airtel Money kwenye tarehe ya mwisho.
  • Ada ya kuchelewa: 10% ya kiasi kilichosalia ikiwa hulipwa kwa wakati.

SOMA HII :  PEPMIS: Jinsi ya kukusanya/Submit utekelezaji wa kazi za kila siku katika Mfumo wa ESS
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Vidonge vya Uzazi wa Mpango kwa Mama Anayenyonyesha

December 15, 2025

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

December 15, 2025

How to register mukuru in zimbabwe

December 8, 2025

Hadithi za kutia moyo

December 8, 2025

Bei ya mashine ya kutengeneza mkaa mbadala

December 1, 2025

Jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia vumbi la mkaa

December 1, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.