Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO (KUPITILIZA MUDA)
Afya

SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO (KUPITILIZA MUDA)

Zifahamu Sababu kwa Mama mjamzito kupitiliza siku za kujifungua
BurhoneyBy BurhoneyMarch 15, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO (KUPITILIZA MUDA)
SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO (KUPITILIZA MUDA)
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

kawaida mimba ya binadamu inatakiwa ibebwe kwa wiki 37 mpaka 42 TU, mwanamke anayezidisha wiki ya 42 bila kuzaa tunaita kitaalamu kama post term pregnancy yaani mimba imepitiliza muda halali wa kuzaliwa.

Sababu za  mimba Kupitiliza Muda wake ni nini?

kuhesabu tarehe vibaya; watu wengi wenye matatizo haya hua na historia ya kuhesabu siku zao vibaya na kutoa taarifa ambazo sio sahihi clinic.
utakuta mimba iko kawaida tu na muda wake lakini kwasababu mama alitoa tarehe ambayo sio ya kweli basi anaonekana mimba yake imechelewa.
tatizo ya kurithi; baadhi ya familia ni kawaida kwa vizazi vyote kujikuta vinakua na mimba za kupitiliza hivyo ukiona mimba yako ukiona imepitiliza ni vizuri ukaulizia kwa wazazi na ndugu zako kama hicho kitu hua kinatokea mara kwa mara kwenye ukoo husika.
mimba nje ya kizazi; mimba chache sana hutungwa nje ya kizazi na kukua mpaka kua kubwa kabisa, lakini mimba hizi haziwez kuzaliwa kwa kawaida kwasababu mtoto anakua eneo ambalo haliwezi kupata uchungu hasa kwenye eneo la tumbo la chakula kitaalamu kama abdominal cavity, sasa mimba ya aina hii huweza kuzaliwa kwa upasuaji tu.
mambo mengine yanayoweza kusababisha mimba ikachelewa kuzaliwa ni unene wa mama mjamzito, mtoto wa kiume tumboni na mimba ya kwanza.

Unaweza kujua umri wa Mimba yako na Tarehe ya Matarajio kwa njia mbalimbali mfano:

  1. Kutumia Hedhi ya mwisho kabla ya kupata Mimba/Ujauzito.
  2. Kuhesa kutokea kipindi ambacho Mjamzito anaanza kusikia Mtoto anaanza kucheza Tumboni mwa Mjamzito.
  3. Kutumia ultrasound ya mwanzoni mwa Miezi Mitatu ya mwanzoni mwa Ujauzito na nk.

Sababu nyingine zinazoweza kupelekea Mjamzito kuchelewa kujifungua hazijulikana au bado hazijafahamika, Isipokuwa kuna mambo ambayo yanaweza kuhatarisha Mjamzito kuchelewa kujifungua.

Soma Hii :Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Vihatarishi vinavyopelekea Mjamzito kuchelewa kujifungua ni kama;

  1. Mimba ya kwanza au Mjamzito anayebeba Ujauzito kwa mara ya kwanza katika maisha yake.
  2. Mimba au Mjamzito ambaye amebeba Mtoto jinsia ya Kiume Tumboniumboni.
  3. Mjamzito ambaye mimba ya kwanza alichelewa kujifungua huweza kuchelewa kujifungua Mimba ya pili kwa 27% au Mimba ya tatu kwa 39%.
  4. Mjamzito mwenye Uzito mkubwa wa kupindukia BMI ya 30Kg/M² au zaidi.
  5. Mjamzito ambaye wakati kuzaliwa yeye mwenyewe alichelewa kuzaliwa pia huweza kuchelewa kujifungua.
  6. Mjamzito anaweza kurithi kuchelewa kujifungua kutoka kwa wazazi wake au kizazi kingine.
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Jinsi ya Kubana Uke Uliolegea – Njia Asilia, Salama na Zenye Matokeo

June 18, 2025

Sababu Maumivu ya uke Wakati wa Tendo la ndoa baada ya kujifungua na Tiba

June 18, 2025

Madhara ya kuwahi kufanya mapenzi baada ya kujifungua

June 18, 2025

Jinsi ya kurudisha uke kuwa Mdogo

June 18, 2025

Jinsi ya kubana uke bila madhara

June 18, 2025

Jinsi ya kubana uke kwa kutumia mgagani

June 18, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.