Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Ratiba Za Boti za Zanzibar timetable Azam ,Kilimanjaro na Zan Fast
Makala

Ratiba Za Boti za Zanzibar timetable Azam ,Kilimanjaro na Zan Fast

Hii hapa Ratiba Kamili za boti za kutoka Dar kwenda Unguja na Dar kwenda Pemba
BurhoneyBy BurhoneyMarch 1, 2025Updated:March 1, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Ratiba Za Boti za Zanzibar timetable Azam ,Kilimanjaro na Zan Fast
Ratiba Za Boti za Zanzibar timetable Azam ,Kilimanjaro na Zan Fast
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Hii Hapa Ratiba ya Boti za utoka Dar kwenda Unguja ,Dar kwenda pemba kila siku kwa boti za Azam Marine,Zan fast na Kilimanjaro.

Huduma na Vifaa vya Boti

Azam Marine,Zan fast na Kilimanjaro zinajivunia kuwa na meli zenye vifaa vya kisasa na huduma bora kwa abiria. Baadhi ya huduma zinazopatikana ndani ya boti ni pamoja na:

  • Wi-Fi ya bure
  • Viti vya daraja la uchumi, biashara, na VIP
  • Huduma za vinywaji na vitafunwa
  • Vyoo vya kisasa

Vidokezo vya Safari

Uhifadhi wa Tiketi: Inashauriwa kufanya uhifadhi wa tiketi mapema kupitia Azam Marine ili kuepuka msongamano na kuhakikisha nafasi yako.

Bei za Tiketi: Bei za tiketi zinatofautiana kulingana na daraja la huduma. Unaweza kuangalia bei za hivi karibuni kupitia Azam Marine Rates.

Muda wa Kufika: Ni vyema kufika bandarini angalau dakika 30 kabla ya muda wa kuondoka ili kukamilisha taratibu za usajili.

Ratiba Kamili za Boti Dar kwenda Zanzibar

Ratiba  hizi zinahusisha boti za Azam,Zan Fast na Kilimanjaro

Ratiba ya boti za azam

Azam Marine hutoa safari nyingi kwa siku kati ya Dar es Salaam na Zanzibar. Hapa chini ni ratiba ya safari za boti:

Ratiba ya boti za azam

 

SikuKutokaKwendaMuda wa KuondokaMuda wa Kuweka
Jumatatu – JumapiliDar es SalaamZanzibar07:00, 09:30, 12:30, 15:30Saa 2
Jumatatu – JumapiliZanzibarDar es Salaam07:00, 09:30, 12:30, 15:30Saa 2

SOMA HII : Makampuni yanayotoa Mikopo ya Haraka papo hapo Bila Dhamana

Ratiba ya boti za Zan Fast Ferries

 

Ratiba ya boti za Zan Fast Ferries

 

Ratiba ya boti za Kilimanjaro

Ratiba ya boti za Kilimanjaro

SOMA HII :  Sheria ya Malezi ya mtoto kwa wazazi Waliotengana
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Vidonge vya Uzazi wa Mpango kwa Mama Anayenyonyesha

December 15, 2025

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

December 15, 2025

How to register mukuru in zimbabwe

December 8, 2025

Hadithi za kutia moyo

December 8, 2025

Bei ya mashine ya kutengeneza mkaa mbadala

December 1, 2025

Jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia vumbi la mkaa

December 1, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.