PrecisionAir ina njia mbalimbali za mawasiliano zinazowezesha wateja kupata msaada kwa haraka. Hapa kuna namba kuu unazoweza kutumia kuwasiliana na huduma kwa wateja
Huduma zifuatazo zinatolewa hapa:
Simu ya Huduma kwa Wateja:
+255746 984100-Vodacom
+255784 108800-Airtel
+255 222 168000-TTCL
⏰ Muda wa Huduma:
- Jumatatu hadi Ijumaa: 08:00 AM – 08:00 PM
- Jumamosi na Jumapili: 09:00 AM – 06:00 PM
Soma Hii :Nauli za Precision Air Dar es Salaam to Dodoma
Njia Nyingine za Kuwasiliana na PrecisionAir
✅ Barua pepe:
✉️ customercare@precisionairtz.com
✅ Mitandao ya Kijamii:
PrecisionAir ina akaunti rasmi kwenye mitandao ya kijamii ambapo wateja wanaweza kuuliza maswali au kupata habari za hivi karibuni:
- Facebook: PrecisionAir
- Twitter: @PrecisionAirTZ
- Instagram: @precisionairtz
✅ Tovuti Rasmi:
🌐 www.precisionairtz.com – Unaweza kutembelea tovuti yao kwa taarifa za tiketi, promosheni, na ratiba za safari.
Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara (FAQs)
🔹 Ninawezaje kubadilisha au kughairi tiketi yangu?
- Unaweza kubadilisha tiketi yako kupitia tovuti ya PrecisionAir au kupiga simu kwa huduma kwa wateja. Masharti ya mabadiliko yanategemea aina ya tiketi uliyonunua.
🔹 Ninaweza kuomba refund ikiwa sitasafiri?
- Ndiyo, lakini inategemea masharti ya tiketi yako. Ni bora kuwasiliana na huduma kwa wateja kwa maelezo zaidi.
🔹 Nifanye nini ikiwa nimepoteza mzigo wangu?
- Ripoti mara moja kwenye dawati la mizigo katika uwanja wa ndege au wasiliana na huduma kwa wateja wa PrecisionAir.