Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Perfume Bora na Nzuri za Muda wote Kwa Wanawake
Makala

Perfume Bora na Nzuri za Muda wote Kwa Wanawake

BurhoneyBy BurhoneyMarch 31, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Perfume Nzuri Kwa Wanawake
Perfume Nzuri Kwa Wanawake
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mwanamke Kupendeza hakuishii kwenye Mavazi na kupaka make up mpaka aina ya Perume unayotumia inaweza kuwa sababu ya kukufanya uonekane mrembo zaidi au laa Hapa nimekuwekea Oodha ya Perume Bora za muda wote kwa Wanawake.

  1. Guerlain La Petite Robe Noir

Waswahili wenyewe wanasema mwamba huyu hapaaa. Nikizungumza hivyo nadhani naeleweka kabisa yaani. Huu ni unyunyu classic ambayo hutumiwa na kupendelewa sana na baadhi ya watu wazito. Perfume hii bwana iko na ladha ya matunda, berry na mimea.

  1. Milioni Lady, ya Paco Rabanne

Perfume nyingine ambayo hupendelewa na wanawake wengi kwakuwa na ladha ya harufu ya kumvuta mtu kwa jina linguine tusema ina harufu kali kidogo, ina ladha ya mchanganyiko wa asali na jimmy, kuna raspberry, hii ni jamii ya strawberry, pia iko ya machungwa nk.

  1. Afyuni, Yves Saint Laurent

Wale wapenzi wa udii udii mwamba huyu hapa, sio poa maana ina harufu nyingi kama vile karafuu, mdalasini ubani, oud, vanilla, peach nk. Wewe dada mrembo unayependa kunukia unyunyu wa oud basi hii itakufaa.

  1. Versace Bright Crystal

Walee wazee na ndoa zao wapenda kufusha manukato ya miski, hii hapa nyingine ni nzuri mno na ukipulizia ndani mpaka mtaa wa saba wanasikia, wale wapenzi wa miski wananielewa nini namaanisha yaani harufu yake haikeri.

Soma Hii :Biashara Ya Mtaji Wa Million 100 (100,000,000) Tanzania

  1. Nina Ricci

Haya ni manukato bwana ambayo yamekaa kidada zaidi maana hata muuondo wake nje uko kirembo zaidi licha ya kuwa na harufu nzuri na hata ladha ya harufu yake imetawaliwa na maua zaidi.

  1. D & G 3 L’Imperatrice

Unyunyu huu bwana unamfanya mwanamke kujiamini haswa anapokuwa mbele za watu maana hata ladha za harufu yake ni ya kipekee sana kama vile unyunyu wa tikiti maji, miski nk yaani ukijipulizia lazima harufu yako ionekane ya tofauti mbele za watu.

  1. Green, DKNY

Haya ni manukato ambayo muundo wake kwa nje ni kama apple na maji yake kwa ndani like green apple ndo maana ikaitwa jina hilo na harufu nzuri mno maana manufacture iliotumika kutengenezea ni lile tunda alilokula Eva apple yaani perfume hii ni balaa.

Mbali na kuwa na jina hilo la green likiwa na maana ya green apple pia katika kampuni hii kuna ladha za harufu mbalimbali kama vile tango, zaituni, rose nk.

  1. Armani Giorgio

Kuna baadhi wao hupendelea sana manukato ambayo yana harufu tofauti na mwingine, basi hili ndo suluhisho kwasababu Armani ina ladha ya harufu tofauti tofauti kama vile machungwa, limao, tangawizi nk, kama unahitaji harufu ya pekee yako basi nakushauri tumia hii kitu utakuja kunishukuru baadae.

  1. Givenchy Ange Ou Demon Le Secret

Wale wenzangu na mie wasiopenda harufu za karaha, tusiopenda mbambamba, unyunyu huu hapa wale wa lemon yenyewe wazee wa kupenda manukato ya maua basi hapa ndo kwisha kazi, uende kwengine ufuate nini. Hii nayo ni perfume ambayo hupendelewa sana kutumiwa na wanawake mbalimbali.

  1. Gucci Guilty

Uuuuwiiih! Wale wazee na vipenzi vya Gucci, sio unavaa nguo tu za kampuni hiyo halafu manukato yakushinde dada, nikuibie siri ya unyunyu huu bwana unakaa haswa kwenye nguo, kuna ladha za harufu tofauti tofauti kama vile chenza, limao, maua nk unakosaje kuitumia kwa mfano.

Perume  nyingine Bora kwa Wanawake kwa Mujibu wa Tovuti ya Kaziforums

Jina la ManukatoVidokezo Muhimu
Chanel No. 5Maua, Vanila
Dior J’adoreMaua ya Mithili, Yasemini, Tuberose
Gucci BloomJasmine, Tuberose, Maua ya Mithili
Yves Saint Laurent Black OpiumKahawa, Yasemini, Vanila
Marc Jacobs DaisyYasemini, Maua ya Mithili, Vanila
Tom Ford Black OrchidMaua ya Mithili, Vanila, Patchouli
Chloe ChloeYasemini, Vanila, Maua ya Mithili
Prada CandyVanila, Musk, Caramel
Versace Bright CrystalYasemini, Maua ya Mithili, Vanila
Lancome La Vie Est BelleVanila, Iris, Maua ya Mithili
Guerlain Mon GuerlainLavender, Jasmine Sambac, Vanila, Sandalwood
Carolina Herrera Good GirlAlmond, Tuberose, Kahawa, Vanila
Maison Margiela Replica Beach WalkBergamot, Coconut Milk, Musk
Jo Malone English Pear & FreesiaPear, White Freesia, Patchouli

 

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Chanzo cha uchawi duniani

June 14, 2025

Chanzo cha meli ya titanic kuzama

June 14, 2025

Chanzo cha vita urusi na ukraine

June 14, 2025

Majina ya Form Six Waliochaguliwa Kujiunga na JKT Kwa Mujibu wa Sheria 2025

May 27, 2025

100+ misemo maarufu kuhusu maisha

May 25, 2025

Misemo ya dharau ya kuchekesha na ya kupost status

May 24, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.