Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

Katika dunia ya kisasa, matumizi ya simu za mkononi yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Moja ya vipengele vinavyoleta mabadiliko katika utumiaji wa simu ni code za mitandao ya simu ambazo hutumika kutambulisha na kutofautisha mitandao mbalimbali ya simu. Katika makala hii, tutajadili orodha ya code za mitandao ya simu nchini Tanzania, pamoja na umuhimu wao kwa watumiaji wa huduma za simu.

Kwa mawasiliano ndani ya Tanzania namba za kieneo hutanguliwa na “0”. Kufikia simu kutoka nje ya nchi kuna namba ya kimataifa 00255 (sawa na +255) inayofuatiliwa na namba ya kieneo bila 0 na namba ya simu.

Aina ya itandao ya Simu Tanzania

Tanzania ni nchi endelevu katika swala la teknolojia kama yalivyokua mataifa mengine. Kwenye ulimwengu wa mawasiliano Tanzania pia imeshuhudia kukua kwake kwa kua na idadi kubwa ya makampuni yaa simu. Hapa chini ni kampuni za mawasiliano ya simu zinazopatikana Tanzania.

1. Tigo/Yasi

2. Vodacom

3. Airtel

4. Halotel

5. TTCL

6. Zantel

Namba za simu za mkononi

Namba hizi huanza kwa 6 au 7 na kuwa na tarakimu 9 (bila sifuri).

Simu za mkononi Tanzania
Namba ya mtandaoKampuni
62Halotel (Viettel)
65TIGO (Mobitel)
66Smile Communications Tanzania Limited
67TIGO (Mobitel)
68Airtel Tanzania Limited
69Airtel Tanzania Limited
71TIGO (Mobitel)
73TTCL Tanzania Telecommunications Company Ltd
74Vodacom (Celtel)
75Vodacom (Celtel)
76Vodacom (Celtel)
77Zantel (Zanzibar Telecom Ltd)
78ZAIN
SOMA HII :  Bei ya Simu ya Samsung Galaxy S24 na Sifa zake
About Burhoney 4809 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati