Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025
Ajira Mpya

Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025

BurhoneyBy BurhoneyJune 9, 2025Updated:June 9, 2025No Comments8 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025
Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Ajira Portal ni mfumo rasmi wa serikali ya Tanzania unaotumika kwa kutangaza na kushughulikia ajira katika sekta ya umma. Kwa mwaka 2025, Ajira Portal inaendelea kuwa njia kuu ya waombaji wa kazi kuwasilisha maombi yao serikalini. Ikiwa unatafuta ajira ya serikali au unahitaji kuelewa mchakato mzima wa kujiunga na kutuma maombi kupitia portal hii, basi makala hii imekufaa.

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo Kupitia Ajira Portal 2025

Kila siku, Ajira Portal hupokea na kuchapisha tangazo la nafasi mpya za ajira kutoka taasisi mbalimbali za umma kama:

  • Wizara mbalimbali (Afya, Elimu, Kilimo, Uchukuzi n.k.)

  • Halmashauri na Manispaa

  • Vyuo vya Serikali

  • Hospitali na vituo vya afya vya umma

  • Mashirika ya Umma

NAFASI 68 za Kazi Ajira Portal June 2025

DescriptionClosing Date
POST: OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ENGINEERING – (ESTATES OFFICER II IN STRUCTURAL) – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: FLIGHT OPERATIONS INSTRUCTOR II – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: CABIN CREW INSTRUCTOR II – 2 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II IN ACCOUNTING AND TRANSPORT FINANCE – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II IN LOGISTICS AND TRANSPORT MANAGEMENT – 2 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II IN PROCUREMENT – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II IN BUSINESS ADMINISTRATION – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II IN ELECTRICAL ENGINEERING – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTOR II INFORMATION TECHNOLOGY – 3 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
DescriptionClosing Date
POST: TUTORIAL ASSISTANT – (COMPUTER SCIENCE/ COMPUTER ENGINEERING – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIALASSISTANT– (NAVAL ARCHITECTURE AND OFF SHORE ENGINEERING) – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIAL ASSISTANT – OIL AND GAS ENGINEERING – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIAL ASSISTANT – (MECHATRONICS ENGINEERING – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIAL ASSISTANT – (SHIPPING AND LOGISTICS MANAGEMENT) – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIAL ASSISTANT – (MARINE ENGINEERING TECHNOLOGY) – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: TUTORIAL ASSISTANT – MARITIME TRANSPORT – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ARTISAN II IN PAINTING – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ARTISAN II IN MACHINE TOOLS – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ARTISAN II IN ARTISAN II IN CARPENTRY AND JOINERY – 1 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
DescriptionClosing Date
POST: TUTOR II IN SHIPBUILDING AND REPAIR – 2 POST
Employer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ICT OFFICER II (SYSTEM SECURITY EXPERT) – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: ICT OFFICER II (SYSTEM DEVELOPERS) – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: SEAFARER DECK II (MARITIME TRANSPORT) – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: SEAFARER ENGINE II (MARINE ENGINEERING) – 1 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: INSTRUCTOR II (MARITIME TRANSPORT – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: INSTRUCTOR II (MARINE ENGINEERING) – 2 POST
Employer: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
More Details
2025-06-19
Login to Apply
POST: DEREVA DARAJA II – 2 POST
Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
More Details
2025-06-14
Login to Apply
POST: MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST
Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
More Details
2025-06-14
Login to Apply
POST: MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 2 POST
Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
More Details
2025-06-14
Login to Apply
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 9 POST
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 4 POST
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST (Nyang’hwale)
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Biharamulo)
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Singida)
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Songea)
  • OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II – 2 POST
  • ONBOARD ATTENDANT II – 2 POST
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 2 POST (Madaba)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 7 POST (Madaba)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST (Mvomero)
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 6 POST (Ushetu)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 5 POST (Tanganyika)
  • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 3 POST (Ukerewe)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 3 POST (Sumbawanga)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II – 5 POST (Ukerewe)
  • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 4 POST (Biharamulo)

Angalia tangazo kamili na mahitaji ya kila nafasi moja kwa moja kupitia tovuti ya Ajira Portal: https://portal.ajira.go.tz

Jinsi ya Kujiunga na Ajira Portal (Kujisajili)

Kama huna akaunti bado, fuata hatua hizi:

  1. Fungua Tovuti Rasmi: Tembelea https://portal.ajira.go.tz

  2. Bonyeza “Register” au “Jisajili”

  3. Jaza taarifa zako binafsi: Jina, Namba ya NIDA, barua pepe, namba ya simu n.k.

  4. Chagua jina la mtumiaji (username) na neno siri (password)

  5. Thibitisha kupitia email utakayotumiwa

  6. Ingia kwenye akaunti yako kwa kutumia email/username na password

Jinsi ya Kutuma Maombi ya Kazi Kupitia Ajira Portal

  1. Ingia kwenye akaunti yako https://portal.ajira.go.tz

  2. Jaza Profile yako kikamilifu:

    • Taarifa binafsi

    • Elimu

    • Uzoefu wa kazi

    • Lugha

    • Vyeti vya kitaaluma (upload)

  3. Tafuta Nafasi ya Kazi unayotaka:

    • Nenda kwenye “Vacancies”

    • Tafuta kwa jina la kazi au taasisi

  4. Soma Tangazo la Kazi kwa Umakini

    • Angalia sifa zinazohitajika

    • Kumbuka tarehe ya mwisho ya kutuma maombi

  5. Bonyeza “Apply”

  6. Thibitisha maombi yako

 NB: Hakikisha profile yako imejazwa kikamilifu kabla ya kutuma maombi – profile incomplete = maombi hayatatumwa.

Jinsi ya Kurekebisha au Kurejesha (Reset) Password Ajira Portal

Je, umesahau password yako? Usihofu. Fanya yafuatayo:

  1. Fungua tovuti ya Ajira Portal: https://portal.ajira.go.tz

  2. Bonyeza “Forgot Password?”

  3. Weka Email uliyosajili nayo

  4. Utaona ujumbe: “A link to reset your password has been sent to your email.”

  5. Fungua email yako, bonyeza link ya reset

  6. Weka password mpya

  7. Thibitisha password mpya kisha login tena

Ikiwa huoni email ya reset, angalia kwenye Spam/Junk Folder au subiri dakika chache.

Mambo Muhimu ya Kuzingatia 

  • Jaza profile kwa ukamilifu kabla ya kuanza kutuma maombi

  • Hakikisha vyeti vyote viko katika mfumo wa PDF

  • Usitumie simu janja kutuma maombi ya ajira – tumia kompyuta kwa urahisi zaidi

  • Angalia Ajira Portal kila siku kwa nafasi mpya

  • Tuma maombi mapema usisubiri siku ya mwisho [Soma: Majina ya Walioitwa Kazini TRA 2025 PDF Download ]

 Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara (FAQs)

Je, ninaweza kutuma maombi ya kazi zaidi ya moja kwa siku moja?

Ndiyo, unaweza kutuma maombi ya nafasi zote unazotimiza vigezo vyake.

Je, kuna gharama yoyote ya kutuma maombi kwenye Ajira Portal?

Hapana, huduma zote ni bure. Usitoe fedha kwa mtu yeyote.

Ajira Portal inaendeshwa na nani?

Ajira Portal inaendeshwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS).

Ninawezaje kujua kama maombi yangu yamepokelewa?

Utaona ujumbe *“Successfully Applied”* kwenye nafasi hiyo baada ya kutuma maombi.

Je, ninaweza kubadili taarifa kwenye profile yangu baada ya kutuma maombi?

Baada ya kutuma maombi, huwezi kubadili taarifa mpaka tangazo hilo lifungwe.

Nawezaje kujua nafasi mpya za kazi kila siku?

Tembelea [https://portal.ajira.go.tz](https://portal.ajira.go.tz) kila siku au fuatilia mitandao ya kijamii ya Sekretarieti ya Ajira.

Ajira Portal iko wazi muda gani?

Portal iko wazi masaa 24 kila siku. Maombi yanapokelewa hadi tarehe ya mwisho ya tangazo.

Ninahitaji kuwa na vyeti gani kabla ya kujiunga?

Cheti cha kuzaliwa, NIDA, vyeti vya kitaaluma (CSEE, ACSEE, Diploma, Degree n.k.), na pasipoti size photo.

Je, lazima niwe na cheti cha NIDA?

Ndiyo. Namba ya NIDA ni mojawapo ya mahitaji ya msingi ya kujisajili.

Ajira Portal inafanya kazi kwenye simu?

Ndiyo, lakini kwa utendaji bora zaidi, tumia kompyuta au laptop.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Ajira portal VITUO Vya Usaili Wa Mahojiano Wa Tarehe 10 Na 12 Juni, 2025

June 9, 2025

Twiga Cement Yatangaza Nafasi ya Msaidizi wa Mhasibu – Juni 2025

June 9, 2025

Nafasi ya Kazi TAHA -Mhasibu wa Mradi Arusha June 2025

June 9, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 9, 2025

Matokeo ya Usaili Ajira Portal 2025 / 2026 Utumishi wa Umma PSRS

June 9, 2025

Nafasi 135 za Kazi Kilombero Sugar Company Limited 2025

June 6, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Ajira portal VITUO Vya Usaili Wa Mahojiano Wa Tarehe 10 Na 12 Juni, 2025

June 9, 2025

Twiga Cement Yatangaza Nafasi ya Msaidizi wa Mhasibu – Juni 2025

June 9, 2025

Nafasi ya Kazi TAHA -Mhasibu wa Mradi Arusha June 2025

June 9, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 9, 2025

Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025

June 9, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.