JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Msimu wa 2024/2025 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara umefika hatua ya kusisimua, huku timu zikionyesha ushindani mkali katika mbio za ubingwa. Hadi kufikia tarehe 22 Februari 2025, msimamo wa ligi unaonyesha mabadiliko muhimu, hasa katika nafasi za juu na za chini.

Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 | Msimamo Wa Ligi Kuu Bara

PosTimuPWDLGFGAGDPts
1Young Africans2219125894958
2Simba2117314683854
3Azam FC22136332122045
4Singida Black Stars22125531191241
5Tabora2210752626037
6JKT Tanzania226971616027
7Dodoma Jiji FC217592227-526
8Fountain Gate2274112639-1325
9Coastal Union225981823-524
10KMC2266101532-1724
11Mashujaa FC225891726-923
12Namungo FC2265111627-1123
13Pamba2257101323-1022
14Tanzania Prisons2246121227-1518
15Kagera Sugar2237121630-1416
16Kengold FC2236131838-2015
  • MP- Michezo Iliyochezwa (Match Played)
  • W- Ushindi (Winsi)
  • D- Sare (Draw)
  • L-Kufungwa (Lose)
  • GF- Magoli Ambayo Timu Imefunga (Goal For)
  • GA- Magoli Ambayo Timu Imefungwa (Goals Against)
  • GD- Tofauti Ya Magoli (Goal Difference)
  • PTS- Jumla Ya Alama (Points)

Mwelekeo wa Msimu Huu

Ushindani Mkali

Kama kawaida, mechi kati ya Simba SC na Yanga SC zinabaki kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki, zikiwa zimejaa ushindani wa hali ya juu.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Share.

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Leave A Reply