Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS
Biashara

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

BurhoneyBy BurhoneyMarch 19, 2025Updated:March 19, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS
Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Fahau Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS,Ununuzi wa Vipande utt unaweza ukakamilisha kwa kutumia huduma za kifedha za simu za mkononi au kupitia Benki.

Ununuji wa Vipande Vya UTT AMIS kwa kutumia mitandao ya Simu

Kama unahitaji kufanya uwekezaji wako kwa kutumia njia ya mitandao ya simu basi unaweza kufuata hatua hizi hapa kwa kila mtandao wa simu

1. Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Mtandao wa M-Pesa

kwa kutumia mtandao wa vodacom (M-Pesa) fuata hatua zifuatazo

Ingia kwenye simu yako na upige *150*00#

1. Kisha chagua Lipa kwa M-Pesa

2. Chagua kwenye orodha

3. Kisha bonyeza ZAIDI

4. Kisha chagua “Michango ya Uananachama”

5. Kisha chagua “UTTAMIS”

6. Ingiza kumbukumbu namba( Hapa utajaza akaunti namba yako ya Mfuko)

7. Kisha weka kiasi

8. Weka namba yako ya siri ya M-Pesa

9. Kisha thibitisha malipo.

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

2. Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Mtandao wa Airtel Money

Ili kuweza kununua vipande vya UTT AMIS kupitia mtandao wa Airtel Moneytafadhari embu fuata hatua zifuatazo

Ingia kwenye simu yako na upige namba *150*60#

1.Kisha chagua namab 5, Lipa Bili

2. Kisha namba 4, Weka lipa namba( Hapa utaweka namba ya kampuni UTT AMIS)

3. Kisha namba 3, Weka kiasi cha pesa

4. Kisha namba 4, Ingiza akaunti ya mfuko wako wa UTT AMIS

5. Kisha namba 5, Kamilisha mwamala

6. Ingiza namaba ya siri ya Airtel Money

7. Thibitisha malipo.

Soma Hii :Bei ya Vipande vya UTT AMIS

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

3. Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Mtandao wa Tigo Pesa

Pia unaweza kununu vipande vya UTT AMIS kwa kutumia mtandao wa simu wa Tigo Pesa, kununua vipande vya UTT AMIS kupitia tigo pesa embu fuata hatua zifuatazao.

Ingia kwenye simu yako na upige namba *150*01#

1. Kisha uchague namba 4, Lipa Bili

2. Chagua namba 2, kupata majina ya Kampuni

3. Kisha chagua namba 9, UTTAMIS & ELIMU

4. Kisha chagua namaba 1, UTTAMIS

5. Kisha weka namba ya Kumbukumbu( Namba ya Akaunti yako ya UTTAMIS)

6. Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kununulia vipande

7. Kisha weka neno siri la Tigo Pesa

8. Thibitisha malipo

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

Ununuji wa Vipande Vya UTT AMIS kwa kutumia Huduma za Kibenki

Njia nyingine amabyo mwekezaji wa jipande vya UTT AMIS anweza kutumia ili kununulia vipande hivyo ni kipitia njia ya huduma za mitandao ya kibenki.Mitandao ya kibenki inayofanya kazi na kampuni ya UTT AMIS ni pamoja na

  1. CRDB
  2. NMB
  3. Stanbanc
  4. NBC

Hapa chini tutaenda kukuonyesha hatua za kufuata kwa kila benki ili kununua vipande vya UTT AMIS.

1. Njinsi ya Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Benki ya CRDB

Ili uweze kununua vipande vya UTT AMIS kupitia benki ya CRDB basi unaweza kufuata hatua zifuatazo;

Chukua simu janja yako na uende play Store au App Store na upadownload Simbankig App

1. Kisha ingia kwenye akaunti yako ya Simbanking kupitia App

2.Nenda sehemu ya Malipo(Payment)

3. Kisha nenda malipo ya ziada

4. Kisha shuka chuini hadi utakapoona UTT AMIS na ubonyeze hapo

5.Ingiza namba ya Incoive

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

2. Njinsi ya Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Benki ya NMB

Pia unaweza kununua vipande vya UTT AMIS kupitia benki ya NMB ili kufanya hivyo tafadhari embua fuata hatua zifuatazo;

Nenda kwenye simu janja yako na upakue App ya NMB Mobilie App, iwe Play Store au App Store

1. Kisha ingia kwenye akaunit yako ya NMB

2. Nenda lipa Bili

3. Malipo ya Biashara

4. Ingiza namba ya biashara – 100020

5. Ingiza kumbukumbu (Namba ya akaunti yako ya UTT AMIS)

6. Hakiki namba ya malipo

7. Weka kiasi cha malipo unachohitaji kulipa

8. Thibitisha malipo

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

3.Njinsi ya Kununua Vipande vya UTT AMIS Kupitia Benki ya Stanbanc

Mfuko wa uwekezaji wa UTT AMIS pia unaruhusu ununuaji wa vipande kwa kutumia banki ya Stanbanc, Ili kutumia banki hii kuweza kufanya uwekezaji wako kwa kununua vipande vya mfuko uluiojiunga tafadhari embu fuata hatua zifuatazo.

Ili kuweza kununua vipende ya UTT AMIS kupitia Benki ya Sanbanic itakupasa kutembelea tawi lolote la Benki ya Stanbic lililopo kalibu nawe na kuweza kununua. Hakikisha unabeba namba ya akaunti yako ya UTT AMIS ili kufanya malipo sahihi kweye akaunti yako

Huduma ya kununua vipande vya Mfuko wa uwekezaji wa UTT AMIS kupitia benki ya Stanbic ni bure kwa watu wote.

Jinsi ya Kununua Vipande Vya Uwekezaji Vya UTT AMIS

Mawasiliano ya UTT AMIS

📍 Anwani: Jengo la Sukari, Ghorofa ya Pili, Mtaa wa Sokoine na Ohio, Dar es Salaam
📞 Simu: +255 22 2122501
📧 Barua pepe: info@uttamis.co.tz
🌍 Tovuti: www.uttamis.co.tz

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.