Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Jinsi ya Kuangalia Salio NSSF Kwa njia ya Simu & Online
Makala

Jinsi ya Kuangalia Salio NSSF Kwa njia ya Simu & Online

Jinsi ya kuangalio salio la Michango NSSF Kwa njia ya SMS, WhatsApp na Member portal Online
BurhoneyBy BurhoneyFebruary 22, 2025Updated:February 22, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Jinsi ya Kuangalia Salio NSSF Kwa njia ya Simu & Online
Jinsi ya Kuangalia Salio NSSF Kwa njia ya Simu & Online
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Wanachama wa NSSF Sasa wanaweza kufuatilia michango yao kujua salio la michango yao Wakiwa nyumbani kwa kutumia simu zao ,Wanaweza kufuatilia Kwa njia ya simu.

Kuhakikisha kuwa unafuatilia salio la akaunti yako ya NSSF (National Social Security Fund) ni muhimu ili kujua jinsi michango yako inavyoendelea na vile vile kujipanga kwa ajili ya mafao yako ya baadaye. NSSF ni mfuko wa hifadhi ya jamii ambao unatoa huduma muhimu kwa wafanyakazi nchini Tanzania, ikiwa ni pamoja na pensheni, matibabu, na faida nyinginezo. Kuangalia salio lako la NSSF kutakusaidia kujua ni kiasi gani umewekeza kwa ajili ya kustaafu na faida zingine zinazotolewa na mfuko huo.

Umuhimu wa Kujua na Kufuatilia Salio la Michango yako NSSF

Kufuatilia salio lako la NSSF ni muhimu kwa sababu:

  • Kujua michango yako: Kuangalia salio la NSSF kutakusaidia kufahamu kama michango yako inafanyika ipasavyo.

  • Kupanga kwa ajili ya kustaafu: Kujua salio lako kutakuwezesha kupanga mipango yako ya baadaye na kufanya maamuzi bora kuhusu fedha zako za kustaafu.

  • Kufuatilia mafao yako: Unaweza kutambua kama unastahili kupata mafao na kuona kama unakubaliana na taarifa za michango yako.

1. NSSF Taarifa – Mobile App

Kwa kutumia programu hii utapata taarifa za michango, salio na huduma mbalimbali.

Jinsi ya Kutumia:

• Pakua “NSSF Taarifa” kutoka “Google Play Store”.

• Utapata taarifa binafsi za uanachama.

• Kuangalia taarifa za michango iliyowasilishwa kwenye Shirika bofya “Statements”.

2. NSSF Taarifa – WhatsApp

Jinsi ya Kutumia:

• Hifadhi namba maalum ya 0756 140 140 kwenye simu.

• Fungua Programu ya WhatsApp kisha tuma ujumbe wa salamu “Hello” au “Habari”.

SOMA HII :  Jinsi ya kupata passport ya kusafiria na Hati ya Kusafiria

• Utapokea ujumbe wenye maelekezo ya jinsi ya kutumia huduma hii.

• Andika neno “Statement” kupata taarifa ya michango yote iliyowasilishwa, au tuma neno “Balance” kupata ujumbe wenye salio la michango iliyowasilishwa.

3. NSSF Taarifa – SMS

Jinsi ya Kutumia:

Ingia ingia kwenye programu ya Ujumbe Mfupi (SMS) kisha tuma ujumbe kwenda namba 15200 kupata huduma zifuatazo:

Kwa Salio/Balance ya michango tuma ujumbe

NSSF SALIO (Namba ya Mwanachama) (Mwaka)

Au

NSSF BALANCE (Member Number) (Year)

Kwa Taarifa/Statement ya michango tuma ujumbe

NSSF TAARIFA (Namba ya Mwanachama) (Mwaka)

Au

NSSF STATEMENT (Member Number) (Year)

4 .Kupitia Huduma za NSSF kwa Wateja (Call Center)

NSSF pia ina huduma ya wateja ambapo unaweza kupiga simu na kuongea na mtumishi wa huduma kwa wateja ili kuangalia salio lako.

  1. Piga simu kwa namba ya huduma kwa wateja: Piga simu kwa namba ya NSSF: 0800 75 00 00.

  2. Zungumza na mtumishi wa huduma kwa wateja: Wafanyakazi wa huduma kwa wateja watakuuliza taarifa za akaunti yako, na kisha watakupa taarifa za salio lako.

5. Mfumo wa ‘Member Portal’

Jinsi ya Kuangalia Salio NSSF Kwa njia ya Simu & Online

Kupitia Mfumo ambao unapatikana katika tovuti ya Shirika yaan www.nssf.go.tz utaweza:

• Kuangalia taarifa za michango yote iliyowasilishwa na Mwajiri wako katika Shirika au michango iliyowasilishwa na mwanachama kwa wanachama wa hiari.

• kupata taarifa za michango (Statements).

Ili upate kuona taarifa zako unatakiwa kuwa namba ya simu ambayo uliisajili NSSF endapo ulibadilisha au haukuiweka tunaomba ufike katika ofisi ya

NSSF iliyojirani yako ili kuweza kuboresha Taarifa zako na kuendelea kufurahia huduma zetu

“NSSF Tunajenga Maisha yako ya Sasa na Baadaye”

SOMA HII :  Jinsi ya Kukopa Salio Tigo /Yas (Menu na Code namba)

 

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Vidonge vya Uzazi wa Mpango kwa Mama Anayenyonyesha

December 15, 2025

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

December 15, 2025

How to register mukuru in zimbabwe

December 8, 2025

Hadithi za kutia moyo

December 8, 2025

Bei ya mashine ya kutengeneza mkaa mbadala

December 1, 2025

Jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia vumbi la mkaa

December 1, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.