Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Je Kufanya Mapenzi Na Mjamzito Mwisho Miezi Mingapi?
Afya

Je Kufanya Mapenzi Na Mjamzito Mwisho Miezi Mingapi?

MJAMZITO ANARUHUSIWA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA MPAKA LINI?
BurhoneyBy BurhoneyMarch 14, 2025Updated:March 14, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Je Kufanya Mapenzi Na Mjamzito Mwisho Miezi Mingapi?
Je Kufanya Mapenzi Na Mjamzito Mwisho Miezi Mingapi?
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Wanandoa Wengi ambao ni wazazi watarajiwa wamekuwa wakijiuliza swali hili maranying Je Tendo la Ndoa Kwa Mjamzito Mwisho Lini Kufanya?

JIBU: Mjamzito anaweza kushiriki Tendo la Ndoa kipindi chote cha Ujauzito wake kuanzia Mimba inapokuwa na wiki 1 hadi Mimba inapokuwa imekomaa na kipindi ambacho anaelekea kujifungua(Wiki 37 hadi 42), japokuwa kuna Mambo ambayo yanaweza fanya Mjamzito asishiriki tendo la Ndoa hata kama ana hamu au shauku ya kufanya Mapenzi au kushiriki Tendo ndo la Ndoa na mwenza wake.

MJAMZITO USISHIRIKI TENDO LA NDOA KAMA UNA SIFA HIZI.

MJAMZITO USISHIRIKI TENDO LA NDOA KAMA UNA SIFA HIZI.

Mama Mjamzito hatoruhusiwa kushiriki Tendo la Ndoa hata kama anapata hamu au shauku ya kufanya Tendo hilo katika kipindi cha Ujauzito ikiwa ana sifa au Mambo yafuatayo;

1. Kutokwa Damu Ukeni katika kipindi chochote cha Ujauzito.

2. Mimba Kutishia Kuharibika ktk kipindi cha Ujauzito.

3. Historia ya Mimba kuharibika mara kwa mara kabla ya Wiki 28 na nk,

4.Endapo Kondo la nyuma limejishikiza karibia na Mlango wa Uzazi na Mjamzito anatokwa na Damu.

5.Wakati mwingine Mjamzito anaweza asishiriki Tendo hilo kutokana na mabadiliko ya Homoni ambayo yanaweza kupelekea kujisikia vibaya, kutapika Mara kwa Mara hususani kipindi cha Miezi Mitatu ya mwanzoni, kupungua kwa hamu ya Tendo la Ndoa, Hata kama hana shida ambazo zimetajwa hapo juu.

JE MTOTO ALIYEPO TUMBONI ANAWEZA KUATHIRIWA KUTOKANA NA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.
Endapo huna changamoto yoyote kati ya Tano zilizo tajwa hapo juu.
Unaposhiriki Tendo la Ndoa hata kama Mbegu za Mwanaume zikimwagwa kwenye Uke, Mtoto hawezi kuathiriwa. Hii ni kwa sababu Mtoto hulindwa na Kuta ngumu au Chupa imara inayo mzunguka lakini pia Mlango wa Uzazi huwa umefungwa vizuri na hauwezi kupitisha kitu chochote labda kama kutakuwa na Maambukizi ya vijidudu ambayo yamepelekea kupasuka kwa Chupa au kuchanika kwa Kuta zinazo mzunguka Mtoto.

UMUHIMU WA TENDO LA NDOA KIPINDI CHA MIEZI MITATU YA MWISHO YA UJAUZITO.
Baadhi ya Maandiko yanaelezea kwamba Mjamzito ambaye hana changamoto tajwa hapo juu, anaposhiriki Tendo la Ndoa ipasavyo husaidia katika kuanzisha Uchungu na kuivisha Mlango wa Uzazi na hivyo huwezesha kuanzishwa kwa Uchungu kipindi ambacho Mjamzito anatakiwa kujifungua.
Hii ni kwa sababu:

1.Kwenye Ute uliochanganyika na Mbegu anazotoa Mwanaume kuna kiasi kidogo cha kemikali ya prostaglandini E ambayo huanzisha Uchungu mwishoni mwa Ujauzito.

  1. Tendo la Ndoa husababisha utolewaji wa Homoni ya Oksitosini ambayo huhusika katika kuhakikisha Mjamzito anapata Uchungu.
  2. Husaidia kuongeza nguvu ya kubana na kuachia ya mfuko wa Uzazi ili kuweza kumtoa Mtoto nje na kujifungua kwa Mjamzito.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Aina Za Dawa Za Fangasi Ukeni

June 21, 2025

Dawa asili ya kurekebisha mzunguko wa hedhi

June 21, 2025

Dawa Ya Kurekebisha Mzunguko Wa Hedhi

June 21, 2025

Dalili Za Hatari Kwa Mimba Changa

June 21, 2025

Dalili Za Hatari Kwa Mama Mjamzito

June 21, 2025

Kiwango Cha Sukari Katika Damu

June 21, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.