Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Hizi Hapa Sifa za Mwanamke wa Kuoa (Wife Material)
Mahusiano

Hizi Hapa Sifa za Mwanamke wa Kuoa (Wife Material)

BurhoneyBy BurhoneyMarch 7, 2025Updated:March 7, 2025No Comments5 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Hizi Hapa Sifa za Mwanamke wa Kuoa (Wife Material)
Hizi Hapa Sifa za Mwanamke wa Kuoa (Wife Material)
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Kila Mwanaume hutamani kumpata mwanamke mwwene tabia njema wa kumuoa hata kama mwaname anatabia mbaya,mlevi au malaya liapokuja swala la kuoa hutuliza kichwa na kutafuta wife material kwaaili yake na maadili ya wanawe.

Katia Pitapita zako kijana Ukibahatika kukutana na Mwanamke mwenye sifa hizi hiyo ni mali safi usimuache weka ndani utanishukuru.

Miongoni mwa misingi hiyo ni lazima uchagua mwanamke ambaye atakuwa na sifa hizi:

1. Mwanamke ambaye hana tamaa ya pesa.
Katika maisha ya sasa mwanamke anayependa sana pesa ukikubali awe mkeo mtasumbuana sana. Kwa maana hiyo mwanamke ambaye utagundua hana tamaa ya pesa, kwamba ikiwepo, ikikosekana anabaki kuwa yuleyule wa siku zote, huyu ni ‘wife material’.

Soma hii :sms za mahaba usiku na sms za kutongoza

2. Mwanamke anayependa watoto 
Utajuaje kama mwanamke uliyenaye ana mapenzi na watoto? Iko hivi; katika uhusiano wenu ukiona ni mtu wa kupendapenda sana watoto wa marafiki zake, kuwanunulia zawadi, kuwashauri wenzake namna nzuri ya kuwalea watoto, hata akija kupata wa kwake itakuwa ni hivyohivyo, huyo ni wife material unatakiwa kumoa haraka.

3. Mwanamke ambaye ana heshima ya kweli. 
Msichana ambaye anaheshimu kila mtu, mdogo na mkubwa, anawapenda na kuwaheshimu ndugu, jamaa na marafiki zako, huyu ana sifa ya kuwa mkeo pia.

4. Mwenye uwezo wa kujishusha.
Ogopa sana mwanamke ambaye anataka usawa, yaani yeye hata akikosea anakuwa hayupo tayari kusema samahani msichana wa aina hii hafaai bali  Anayekufaa ni yule anayejua yeye ni mke, nawewe ni mume. Anayetambua kuwa, mwanaume ndiye kiongozi wa familia.

5. Mtu ambaye anakushauri kwenye mema. 
Kama mpenzi wako ni wa kukutaka kila siku muende baa au mfanye madili hatari ili mpate pesa, huyu hana sifa ya kuwa mkeo. Mke ni yule ambaye atakuongoza kwenye kutenda mema na kuacha mabaya. Kwa mfano kama unakunywa pombe atakushauri uache, kama siyo mtu wa ibada, atakushawishi umjue Mungu wako na mambo mengine kama hayo.

SOMA HII :  Jinsi Ya Kucomment Kwa Facebook Pic Ya Mwanamke Na Aweze Kukujibu Haraka

Sifa za Nyongeza za Mwanamke wa kuoa

AKUPENDE KWA MAANA HALISI YA KUKUPENDA

Unapoingia kwenye maisha ya ndoa, unatarajia kupata mapenzi ya kweli kutoka kwa mwenza wako. Wapo baadhi ya wanawake ambao wanaonesha wazi kutokuwa na mapenzi ya kweli bali wanakuwa na mapenzi ya kuzuga.Wanachotaka wao ni aidha kupata umaarufu tu kwamba yuko na mtu fulani ama kuweza kupata pesa alizonazo mwanaume lakini sio kwamba ana mapenzi ya dhati kutoka moyoni mwake.Kwa nini ni vizuri kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kutoka moyoni na si kwamba akupende kutokana na mali au fedha zako na muonekano wako? Hii inatokana na ukweli kwamba maisha siku zote yanabadilika, kuna kupanda na kushuka.Sio kwamba kila siku utakuwa na maisha mazuri na kama itatokea hivyo basi ushukuru Mungu. Hivyo basi mwanamke wa kuoa lazima afahamu hivyo na awe tayari kuonesha mapenzi yake ya dhati wakati wote wa maisha yenu.

HILI LA TABIA NDO’ KILA KITU

Linapokuja suala na kuoa, tabia inakuwa kitu cha awali sana kuangaliwa. Hii ni kwa sababu, wapo wasichana wazuri wenye mvuto wa aina yake na maumbile mazuri, lakini wanakosa sifa ya kuitwa mke kutokana na tabia zao chafu.Hakuna mwanaume anayeweza kudiriki kumpa nafasi msichana kuwa mke wake wakati ana tabia chafu. Endapo utaangalia uzuri wa sura kisha ukafanya maamuzi ya kuoa, utakuwa unajichimbia kaburi.

AOTE MAFANIKIO

Hivi karibuni kume-kuwepo na mabadiliko ya aina yake kwa wanaume, wengi sasa hivi hawapendi kabisa kuoa mwanamke ambaye hana kazi ‘golikipa’.Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa mafanikio kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijini na hata vijijini.Ile dhana ya kuoa mwanamke kwa ajili ya kukustarehesha tu imepitwa na wakati. Hizi ni zama za kutafuta mtu wa kushirikiana naye kwenye kusaka mafanikio.

SOMA HII :  Dalili 20 za mapenzi ya kweli

UVUMILIVU

Wapo wanawake ambao sio wavumilivu kabisa katika maisha. Tunajua kwamba maisha siku zote hayatabiriki, yanaweza kutokea matatizo ya kiafya ama kifedha. Huu ndio wakati wa kuona uvumilivu wa mtu.Kama mwanamke anatarajia kwamba siku zote ni za raha tu na pindi matatizo yanapotokea anachukua uamuzi wa kumtoroka mwanaume, huyo siyo mwanamke wa kuoa.Wangapi leo hii huwatoroka waume zao pindi wanapoumwa, kufilisika ama kupatwa na tatizo lolote ambalo kwa namna moja ama nyingine linaweza kuwafanya maisha yao kutingishika?Uvumilivu kwa mwanamke utakuwepo kama tu atakuwa na mapenzi ya dhati kama nilivyozungumza hapo awali. Mwanamke mwenye mapenzi ya dhati ni lazima atakuwa mvumilivu na atakuwa tayari kuishi katika maisha ya aina yoyote, yawe ya raha ama ya starehe. Hawa ndio wale ambao wanaume wengi wengependa kuwa nao maishani mwao.

HANA MAKUZI

Kuna wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume. Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Wa kumuoa hatakiwi kuwa hivyo.Anatakiwa kuwa tayari kula dagaa pale inapobidi na kama uwezo wa kula nyama upo basi atakula. Awe tayari kutembea kwa miguu pale usafiri wa maana utakapokosekana, awe tayari kuvaa nguo za kawaida, awe tayari kutumia simu ya tochi.Kwa kifupi mwanamke ambaye ni ‘wife material’ anatakiwa kuwa tayari kuishi maisha ya aina zote

wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume. Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Wa kumuoa hatakiwi kuwa hivyo.Anatakiwa kuwa tayari kula dagaa pale inapobidi na kama uwezo wa kula nyama upo basi atakula. Awe tayari kutembea kwa miguu pale usafiri wa maana utakapokosekana, awe tayari kuvaa nguo za kawaida, awe tayari kutumia simu ya tochi.Kwa kifupi mwanamke ambaye ni ‘wife material’ anatakiwa kuwa tayari kuishi maisha ya aina Yoyote.

SOMA HII :  Jinsi ya kupata Mume wa kizungu

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Madhara ya Kunyonya Maziwa ya Mwanamke

December 21, 2025

Madhara ya mate kwenye uke

December 21, 2025

Madhara ya kunyonya chuchu za mwanamke

December 21, 2025

Madhara ya kunyonya sehemu za siri

December 20, 2025

Video ya mwanafunzi na mwalimu Inayotrend Mtandaoni

December 9, 2025

Connection ya mwalimu na mwanafunzi wa miaka 15 Zimbabwe

December 9, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.