Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » HESLB Vigezo na Sifa ya kupata Mkopo Wa Elimu ya Juu Bodi ya Mikopo Tanzania
Elimu

HESLB Vigezo na Sifa ya kupata Mkopo Wa Elimu ya Juu Bodi ya Mikopo Tanzania

BurhoneyBy BurhoneyMarch 2, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
HESLB Vigezo na Sifa ya kupata Mkopo Wa Elimu ya Juu Bodi ya Mikopo Tanzania
HESLB Vigezo na Sifa ya kupata Mkopo Wa Elimu ya Juu Bodi ya Mikopo Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ni chombo muhimu kinachowezesha wanafunzi wengi wa Tanzania kuendelea na masomo yao ya elimu ya juu kwa kuwapa mikopo ili kusaidia kugharamia ada, vitabu, na mahitaji mengine ya kimasomo. Mikopo hii ni fursa ya kipekee kwa wanafunzi ambao hawawezi kumudu gharama za masomo kwa njia nyingine. Hata hivyo, ili kupata mkopo huu, kuna sifa maalum ambazo kila mwanafunzi anapaswa kutimiza.

Makala hii itakuletea mwongozo kamili kuhusu sifa za kupata mkopo wa HESLB na jinsi unavyoweza kujiandaa ili uweze kufuzu kupata mkopo wa bodi hii.

Sifa Za Kupata Mkopo wa Bodi Ya Mikopo Tanzania HESLB

Ili kuhakikisha kuwa mikopo ya HESLB inawafikia walengwa sahihi, kuna sifa muhimu ambazo kila mwombaji anatakiwa kutimiza. Sifa hizi zimeainishwa katika Sheria na Kanuni za Bodi ya Mikopo na zinahusisha vipengele vya jumla na vile vya msingi kwa wanafunzi wanaondelea na masomo.

Sifa za Jumla Kwa Wanafunzi wanaojiunga na Vyuo

  1. Uraia: Mwombaji ni lazima awe raia wa Tanzania.
  2. Umri: Mwombaji ashindwe miaka 35 wakati wa kuomba mkopo.
  3. Udahili: Ni sharti mwombaji awe amedahiliwa katika taasisi ya elimu ya juu nchini Tanzania inayotambuliwa.
  4. Maombi kupitia OLAMS: Maombi yote ya mkopo yanafanywa kupitia Mfumo wa Maombi na Usimamizi wa Mikopo (OLAMS).
  5. Ukosefu wa kipato: Mwombaji hapaswi kuwa na chanzo kingine cha mapato, kama vile ajira au mkataba serikalini au sekta binafsi.
  6. Kurejesha mkopo uliopita: Kwa wale ambao wameshawahi kupokea mkopo wa HESLB, ni lazima wawe wamerejesha angalau asilimia 25 ya mkopo huo kabla ya kuomba tena.
  7. Ufaulu wa masomo: Waombaji wanatakiwa wawe wamehitimu elimu ya kidato cha sita au stashahada ndani ya miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi 2024.

Sifa za Msingi kwa Wanafunzi Wanaondelea na Masomo

Kwa wanafunzi ambao tayari wako vyuoni na wanataka kuendelea kupata mkopo, au wale wanaotaka kuomba mkopo kwa mara ya kwanza wakiwa wanaendelea na masomo, wanatakiwa kutimiza yafuatayo:

  1. Ufaulu: Ni lazima wawe wamefaulu mitihani yao ili waweze kuendelea na mwaka unaofuata wa masomo.
  2. Barua ya kurejea (kama inafaa): Kwa wale waliowahi kuahirisha masomo, wanapaswa kuwa na barua ya kurejea masomoni kutoka chuo husika.
  3. Kurudia mwaka: Wanafunzi hawaruhusiwi kurudia mwaka wa masomo zaidi ya mara moja katika kipindi chote cha masomo yao.
  4. Kuahirisha masomo: Hairuhusiwi kuahirisha masomo kwa zaidi ya miaka miwili mfululizo.
  5. Namba ya Utambulisho ya Taifa (NIN) na namba ya usajili: Lazima wawasilishe namba hizi kabla ya kupokea fedha za mkopo katika mwaka wao wa tatu wa masomo.

SOMA HII :Fomu za Kujiunga Na Shule Kidato Cha Tano

Jinsi Ya Kutuma Maombi Ya Mkopo

Maombi yote ya mkopo yatafanyika kupitia Mfumo wa Maombi na Usimamizi wa Mikopo (OLAMS). Waombaji wote wa mikopo WANAKUMBUSHWA kutumia namba ileile ya Mtihani wa Kidato cha Nne iliyotumika wakati wa kuomba udahili.

Baada ya kukamilika kwa mchakato wa maombi kwenye mtandao, waombaji watapaswa kupakua (ku-print) nakala za fomu za maombi na Mkataba wa Mkopo kutoka kwenye mtandao, kugonga mihuri sehemu husika, kusaini fomu, kuambatisha nyaraka zinazohitajika na kuzipakia (upload) kwenye mfumo wa OLAMS kurasa zilizosainiwa

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Kozi Zenye Kipaumbele Kupata Mkopo HESLB Degree na Diploma

June 10, 2025

Vigezo vya Kupata Mkopo Ngazi ya Diploma /Stashahada 2025/2026

June 10, 2025

Mwongozo Jinsi ya Kuomba Mkopo kwa Wanafunzi wa Diploma 2025/2026

June 10, 2025

Form Five Joining Instructions 2025 /2026 PDF Download 

June 6, 2025

HESLB Jinsi Ya Kuangalia Allocation ya Mkopo wako Wa chuo kupitia SIPA Account 2025

June 4, 2025

HESLB SIPA Loan Allocation Status Login 2025 /2026

June 4, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.