From five selection 2025 Katavi – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Katavi

From five selection 2025 Katavi – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Katavi
From five selection 2025 Katavi – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Katavi

Mkoa wa Katavi ni miongoni mwa mikoa yenye shule za Advance Nchini Ambazo kila mwaka Hupokea wanafunzi wa kujiunga kidato cha tano ambao hupangiwa shule na TAMISEMI Kupitia makala hii utafahamu jinsi ya kuangalia Majina ya waliochaguliwa Form Five Katavi.

Jinsi ya Kuangalia Selection za Form Five – Mkoani Katavi

Wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2024 na kufaulu vizuri hupewa nafasi ya kujiunga na kidato cha tano kupitia mfumo wa TAMISEMI. Kupitia mfumo huu, majina ya waliopangiwa shule hutolewa kwa uwazi na upatikanaji wake ni rahisi kwa kila mwanafunzi.

Hatua za Kuangalia Majina ya Waliochaguliwa:

  1. Fungua tovuti rasmi ya TAMISEMI:
     https://selform.tamisemi.go.tz

  2. Bonyeza kiungo chenye maandishi: “Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano 2025”

  3. Chagua Mkoa – Katavi

  4. Chagua Halmashauri unayotaka, mfano: Mpanda TC, Mlele DC n.k.

  5. Tafuta jina lako au angalia orodha ya wanafunzi waliopangiwa shule fulani

 Unaweza pia kutafuta kwa kutumia jina la mwanafunzi au namba ya mtihani.

Halmashauri za Mkoa wa Katavi

Mkoa wa Katavi una halmashauri kadhaa ambazo ndizo zinazopokea na kusimamia shule za sekondari zinazopokea wanafunzi wa kidato cha tano. Halmashauri hizo ni:

  1. Mpanda Town Council (Mpanda TC)

  2. Mpanda District Council (Mpanda DC)

  3. Mlele District Council

  4. Tanganyika District Council

  5. Nsimbo District Council

Katika halmashauri hizi, kuna shule mbalimbali ambazo zinatoa elimu ya sekondari ya juu (Form 5 & 6), zikiwemo:

  • Mpanda Secondary School

  • Milala Secondary School

  • Usevya Secondary School

  • Inyonga Secondary

  • Karema Secondary School

Shule hizi zimekuwa zikipokea wanafunzi kutoka mikoa mbalimbali kutokana na matokeo mazuri ya kielimu na mazingira bora ya kusomea.

 Jinsi ya Kupata Form Five Joining Instructions – Shule za Mkoani Katavi

Baada ya mwanafunzi kujua shule aliyopangiwa, hatua muhimu inayofuata ni kupata fomu ya maelekezo ya kujiunga (Joining Instructions) kutoka kwa TAMISEMI au tovuti ya shule husika. Fomu hii ina taarifa muhimu kama:

  • Muda wa kuripoti shule

  • Vitu vinavyotakiwa kubeba

  • Ada na michango

  • Mavazi rasmi ya shule

  • Sheria na kanuni za shule

SOMA HII :  Chuo cha Ualimu St. Francis Nkindo Teachers College Online Applications

Hatua za Kupata Joining Instructions:

  1. Tembelea:
     https://selform.tamisemi.go.tz/Content/selection-and-joining-instructions

  2. Chagua Mkoa – Katavi

  3. Tafuta jina la shule ambayo mwanafunzi amepangiwa

  4. Bonyeza link ya “Download” ili kupakua fomu

  5. Chapisha (print) au hifadhi kwenye simu kwa matumizi ya baadaye

 Ni muhimu mzazi au mlezi asome kwa makini fomu hii kwani inahusisha kila jambo muhimu kabla ya mwanafunzi kuripoti.

About Burhoney 4807 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati