JIUNGE NASI WHATSAPP
BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM
BOFYA HAPA
Wengi wamewahi kujiuliza: Je, kuna talasimu au mbinu ya siri ya kumfanya mpenzi wangu anipende zaidi na kunitii kwa moyo mmoja? Ingawa talasimu halisi ni neno linaloegemea zaidi upande wa kiimani au kichawi
a)hakika hapa ni penyewe, kama kuna mtu unataka akupende sana au akutimizie haja yako au mke au mume akupende kupita kiasi
b)Ama unataka kupendwa na kila mtu iwe kazini,nyumbani,ama sehemu yoyote mapenzi ya kupitiliza
basi chora tarasimu hii kwa kutumia zafarani nyekundu na marashi ya bint sudani,(vinapatikana duka lolote la dawa za kiarabu)kisha isomee jina hilo mara 3000, na usom”Barahatii” mara tatu kisha ifunge kama azima na ukaitundike katika mti mkubwa kwa manuiz unayokusudia.
vizuri zaidi ni kuchora mbili moja juu ya mti na ya pili kaizike kwenye maji, hakika utaona ajabu kabisa.
Na pia ukitaka kupendwa na watu fanya kama nilivyoelekeza kwenye jina la mhusika unaweka *wote kwa pamoja* na kisha uwenayo kama azima kila unapotembea.
Kumbuka wakati wa kufunga au kuzika ama kuiweka mfukoni ufanye manuizi unayotaka au kwenye wallet unuie manuzi unayoyahitaji.
JIUNGE NASI WHATSAPP
BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM
BOFYA HAPA