Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » DALILI  ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)
Afya

DALILI  ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

BurhoneyBy BurhoneyMarch 14, 2025Updated:March 14, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
DALILI  ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)
DALILI  ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Inawezekana ukawa Umeshika ujauzito lakini kutokana na Uchanga wa mita Baadhi ya vipimo vikashindwa kugundua au kusoma kama una mimba Ndio mana nimekuandalia makala hii iliyobeba dalili 30 za mimba changa ili ukiona dalili moja kati ya Hizi jua kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuwa una Ujauzito.

  1. Kutoona siku zako au Hedhi yako kwa Mjamzito.
  2. Kupata kichefu chefu na kutapika kwa Mjamzito.
  3. Kuchoka Sana Mara kwa Mara kwa Mjamzito.
  4. Kutokwa na Damu kama Matone kwa Mjamzito .
  5. Kulala Mara kwa Mara kwa Mjamzito
  6. Kutokwa na Ute mwingi Ukeni kwa Mjamzito.
  7. Matiti/Maziwa kuuma kwa Mjamzito.
  8. Kubadilika kwa Harufu kwa Mjamzito.
  9. Chuchu Kubadilika Rangi na kuwa nyeusi kwa Mjamzito.
  10. Matiti kuwa makubwa zaidi na kuongezeka Uzito kwa Mjamzito.
  11. Maumivu ya Tumbo ya kubana na kuachia kwa Mjamzito.
  12. Maumivu ya Kiunoni kwa Mjamzito.
  13. Maumuzi ya Mgongoni karibia na kiunoni kwa Mjamzito.
  14. Mapigo ya Moyo kwenda mbio ktk kipindi cha Ujauzito.
  15. Kujaa Mate Mdomoni mwa Mjamzito.
  16. Mdomo kuwa Mchungu kwa Mjamzito.
  17. Mjamzito kula Udongo.
  18. Tumbo la Mjamzito kujaa Gesi.
  19. Kupunguza hamu ya kufanya Tendo la Ndoa ktk kipindi cha Ujauzito.
  20. Kukojoa Mara kwa Mara katika kipindi cha Ujauzito.
  21. Kupata kiungulia ktk kipindi cha Ujauzito.
  22. Mjamzito kuwa na Chunusi Usoni.
  23. Mjamzito kuwa Mstari Tumboni ambao unatoka sehemu ya chini ya kifuani mpaka kwenye sehemu ya chini ya Kitovu karibia na mfupa wa Kinena.
  24. Tumbo la Mjamzito kuwa na Michirizi ktk kipindi cha Ujauzito.
  25. Mjamzito kutokwa na Damu Puani au kwenye Fizi/Meno katika kipindi fulani Cha Ujauzito.
  26. Baadhi ya Wajawazito hupata Bawasiri au vinyama vinavyokuwepo kwenye njia ya haja kubwa.
  27. Mjamzito Kupata maumivu ya Kichwa.
  28. Mjamzito kukosa Usingizi.
  29. Kubadilika kwa mhemuko au Mudi.
  30. Tumbo kuwa kubwa na kuongezeka katika kipindi cha Ujauzito Kutokana na ukuaji wa Mtoto Tumboni na nk.

Soma Hii : Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?

KUMBUKA; Dalili pekee hazitoshi kuonesha kuwa Mjamzito kuna Baadhi ya Magonjwa huwa na Dalili zinazofanana na Baadhi ya Dalili za Ujauzito,
Hivyo ni vema kuweza kufanya kipimo Cha Mimba Cha Mkojo (UPT) endapo unahisi kuwa na Ujauzito.
Kipimo hiki kinapofanyika siku ya 10 au 14 tokea Mimba kutungwa huweza kuonesha Majibu sahihi kwa asilimia 99% na endapo hakikuonesha Mimba na bado unapata Dalili za Mimba unaweza kurudia kipimo hiki siku 3 – 5 tokea ufanye kile kipimo Cha kwanza.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Jinsi ya Kubana Uke Uliolegea – Njia Asilia, Salama na Zenye Matokeo

June 18, 2025

Sababu Maumivu ya uke Wakati wa Tendo la ndoa baada ya kujifungua na Tiba

June 18, 2025

Madhara ya kuwahi kufanya mapenzi baada ya kujifungua

June 18, 2025

Jinsi ya kurudisha uke kuwa Mdogo

June 18, 2025

Jinsi ya kubana uke bila madhara

June 18, 2025

Jinsi ya kubana uke kwa kutumia mgagani

June 18, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.