Browsing: Elimu

Elimu

Fahamu Hatua za kuingia au kulogin na kujisajili katika mfumo wa SIPA unaomilikiwa na Bodi ya mikopo elimu ya juu Tanzania HESLB,Makala hii itakuongoza hatua za ku login,jinsi ya kurudisha neno la siri la SIPA ulilolisahau ,na Jinsi ya kufungua Account SIPA. 1. SIPA HESLB ni nini? SIPA (Student’s Individual Permanent Account) ni sehemu muhimu ya mfumo wa OLAMS (Online Loan Application and Management System) wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). Mfumo huu unawawezesha wanafunzi kusimamia mikopo yao kuanzia hatua za maombi hadi urejeshaji. Kwa kutumia akaunti ya SIPA, mwanafunzi anaweza kufanya yafuatayo: Kuomba mkopo…

Read More

Fahamu utaratibu na Hatua unazopaswa kuziuata ili  Kuangalia Matokeo ya mtihani wa Taifa Darasa La Saba, Matokeo ya darasa la saba yana umuhimu mkubwa kwa wanafunzi na wazazi nchini Tanzania. Matokeo haya yatatoa picha ya jinsi wanafunzi walivyofanya katika mtihani wa kitaifa na ni hatua muhimu kuelekea shule ya sekondari. Ili kuhakikisha unapata taarifa sahihi, ni muhimu kujua tarehe za kutangazwa kwa matokeo na jinsi ya kuyapata. Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Darasa la Saba Matokeo ya Mtihai wa Kitaifa wa Darasa la saba unaosimamiwa na Necta yanaweza kuwa accessed kwa njia Mbalimbali lakini kwenye hii makala tumejadili njia mbili…

Read More

Kama Uliomba mkopo wa eimu ya juu na hukubahatika kuwa ni miongoni mwa waliopata mkopo weye aamu ya aali na aamu ya pili angalia Majina ya Waliopata Mkopo Awamu ya Tatu HESLB 2025/2026 (Batch Three) Huenda ukawa ni miongoni mwa wanufaika katika awamu hii ya tatu. Jinsi ya Kuangalia Majina ya Waliopata Mkopo Awamu ya Tatu HESLB Wanafunzi ambao walituma maombi ya mkopo wa elimu ya juu kupitia Dirisha la Tatu la maombi ya mkopo HESLB wanaweza kufuatilia majibu ya maombi ya mkopo HESLB kwa njia ya kupitia akaunti yao ya SIPA HESLB . Ili kuangalia kama umepata mkopo, fuata…

Read More

Fahmu Jinsi ya Kuangalia Status yako ya Mkopo HESLB ili Ujue kama Umepata Mkopo ,au kama unatakiwa ufanye marekebisho au laa Akaunti ya SIPA kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Hatua za Kuangalia Mkopo HESLB Kupitia Akaunti ya SIPA Ili kuangalia kama umepangiwa mkopo na kiwango kilichotolewa, unapaswa kutumia akaunti yako ya SIPA (Student’s Individual Permanent Account). Akaunti hii ni maalum kwa kila mwanafunzi aliyeomba mkopo, na ni njia pekee ya kuweza kupata taarifa rasmi kuhusu hali ya mkopo wako. Fuata hatua hizi: 1. Tembelea Tovuti ya HESLB Hatua ya kwanza ni kufungua tovuti rasmi ya HESLB kupitia kiungo hiki: https://olas.heslb.go.tz/olams/account/login.…

Read More

Kila mwaka, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) hutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu katika awamu tofauti. Baada ya kutangazwa kwa awamu ya kwanza, wanafunzi waliokosa nafasi au waliochelewa kuomba hupata fursa ya kuchaguliwa katika awamu ya pili. Kwa mwaka wa masomo wa 2025, TCU na vyuo vikuu mbalimbali vimetoa orodha ya wanafunzi waliopata nafasi katika awamu hii. Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Vyuo vikuu Awamu ya Pili Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) itatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali tarehe 05 Oktoba, 2025. Wanafunzi wanatakiwa kuthibitisha udahili wao kuanzia tarehe hiyo hadi 21 Oktoba,…

Read More

University of Dar es salaam (UDSM) Kila mwaka, hupokea maelfu ya maombi kutoka kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na programu mbalimbali za masomo. Kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026, UDSM imetangaza rasmi majina ya wanafunzi waliochaguliwa katika awamu ya kwanza. Kuhusu Chuo kikuu Dar es salaam (UDSM) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD) (kiingereza: University of Dar es Salaam) ni chuo kikuu cha kwanza nchini Tanzania chenye kauli mbinu inayosema Hekima ni Uhuru. CKD kina kampasi mbalimbali kama vile Main Kampasi, CoICT Kampasi, DUCE Kampasi, MUCE Kampasi, Zanzibar Kampasi, SJMC Kampasi na Mbeya Kampasi. Hizi Kampasi zipo mahali mbalimbali. Main…

Read More

Chuo kikuu Dodoma Tayari kimeshamaliza Mchakato wa Udahili na kutoa Majina ya Waliochaguliwa UDOM Kwa mwaka wa Masomo 2025 ,Kama unatafuta majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa mwaka wa masomo 2025 /2026 Fuata hatua zifuatazo. Jinsi ya Kuangalia Majina ya Waliochaguliwa UDOM Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ni moja ya taasisi kubwa za elimu ya juu nchini Tanzania, kinachotoa programu mbalimbali kwa wanafunzi wa shahada na ngazi nyingine za elimu. Kila mwaka, UDOM hupokea maelfu ya maombi kutoka kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na chuo hiki. Kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026, chuo kimetangaza rasmi…

Read More

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Tanzania (HESLB) Imeanzakutangaza Majina ya Wanafunzi waliopata Mkopo Elimu ya Juu kwa Mwaka wa Masomo 2025 /2026 ,Makala hii itakupa Muongozo jinsi ya Kangalia kama umebahatika kupata mkopo kupitia Account yao ya SIPA. Wanafunzi Kupata Taarifa Kupitia SIPA Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia, ametoa taarifa kwamba wanafunzi wote waliotuma maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2024/2025 wanaweza kupata taarifa zao kupitia akaunti zao za SIPA (Student’s Individual Permanent Account). Akaunti hizi ni maalum kwa kila mwanafunzi na zinatoa taarifa zote zinazohusiana na maombi ya mikopo. Jinsi ya Kuangalia Majina ya Waliopata…

Read More

Sekta ya hoteli na utalii inakua kwa kasi nchini Tanzania, na hivyo kuna mahitaji makubwa ya wataalamu waliobobea katika Hotel Management. Ikiwa unatafuta chuo kinachotoa kozi za usimamizi wa hoteli, hapa kuna orodha ya vyuo maarufu vinavyotoa mafunzo hayo nchini Tanzania. Vyuo vya Hotel Management Tanzania Bestway Institute Of Training – Dar Es Salaam Cambridge Institute – Arusha Tanzania Kilimanjaro Institute Of Technology And Management – Dar Es Salaam Kilimanjaro Modern Teachers College – Hai Malimo Vocational Training College – Dar Es Salaam National College Of Tourism (NCT) – Dar Es Salaam Njuweni Institute Of Hotel Catering And Tourism Management…

Read More

Sekta ya utalii na huduma za hoteli ni moja ya sekta zinazoendelea kwa kasi duniani kote, ikiwa na fursa nyingi za ajira. Ikiwa unataka kujiunga na chuo cha Hotel Management ili kujifunza kuhusu usimamizi wa hoteli, huduma za chakula, na utalii, ni muhimu kufahamu sifa zinazohitajika. Sifa za Kujiunga na Chuo cha Hotel Management (Ngazi Tofauti) Sifa za kujiunga na kozi za usimamizi wa hoteli zinategemea ngazi ya elimu unayotaka kusoma. Kwa kawaida, kuna kozi za ngazi ya cheti, diploma, na shahada, ambapo kila moja ina vigezo maalum vya kujiunga. 1. Ngazi ya Cheti (Certificate) Kwa wanaotaka kujiunga na kozi…

Read More