Jifunze Mafunzo Mbalimbali ya Dini ya Uislam pamoja na Dini ya kikristo kupitia Category hii Utapata Aya na Mfundisho ya Qur’an, na Sunnah zake,Dua Mbalimbali pia Utapata kujifunza Mafundisho ya kwenye Biblia
Sifa 40 za ndoa halali Katika Uislam
Katika Uislamu, ndoa ni ibada tukufu inayochangia katika ujenzi wa familia bora na jamii yenye maadili. Ndoa halali ni ile inayofuata masharti na misingi ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an [Read Post]
