Pata Update za Nafasi za Kazi zinazotangazwa kila siku Tanzania Serikalini ,Mashirika Binafsi na NGo’s pia Majina ya Walioitwa kwenye Usajili na Walioitwa kazini
Ajira portal VITUO Vya Usaili Wa Mahojiano Wa Tarehe 10 Na 12 Juni, 2025
Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetoa tangazo rasmi la kufanyika kwa usaili wa mahojiano kwa baadhi ya kada muhimu katika utumishi wa umma nchini. [Read Post]
