Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Ukoma husababishwa na nini?
Ukoma, unaojulikana pia kama Hansen’s Disease, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria anayeitwa Mycobacterium leprae. Ugonjwa huu huathiri ngozi, neva, macho, na utando wa pua, na huambukizwa kwa mawasiliano [Read Post]
