Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Dalili za Ugonjwa wa Polio, Sababu, Chanjo na Tiba yake
Polio ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kinachoitwa Poliovirus. Ni moja ya magonjwa ya kuambukiza ambayo huathiri mfumo wa neva na wakati mwingine kusababisha kupooza kwa ghafla, hasa kwa watoto chini [Read Post]
