Fahamu Magonjwa Mbalimbali yanayoweza kumkabili Binadamu Magonjwa ya Wanaume,ya Wanawake na Watoto Tumekuwekea Dalili Mbalimbali za mgonjwa,Tiba Au Dawa za Magonjwa Mbalimbali na Jinsi ya kujikinga dhidi ya Magonjwa Mbalimbali
Matunda ya kuongeza damu mwilini
Upungufu wa damu mwilini (anemia) ni tatizo linalowakumba watu wengi, hasa wanawake, wajawazito na watoto. Sababu kuu ya tatizo hili mara nyingi huwa ni ukosefu wa madini ya chuma (iron), [Read Post]
