Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Biashara Bora zinazolipa zaidi Tanzania
Biashara

Biashara Bora zinazolipa zaidi Tanzania

BurhoneyBy BurhoneyMarch 18, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Biashara Bora zinazolipa zaidi Tanzania
Biashara Bora zinazolipa zaidi Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kuna Biashara Ambazo watu wengi huzipuuzia lakini ni Biashara zenye faida kubwa na mzunguko mzuri.
.
Biashara hizi hazichangamkiwi sana na wasomi na wenye mitaji mikubwa. Unaweza kuangalia hizi Biashara na Ukaweka nguvu zako.

NambariBiasharaMaelezo
1Maduka ya MtandaoniUuzaji wa bidhaa mtandaoni kupitia tovuti na mitandao ya kijamii.
2Kilimo cha KisasaKutumia teknolojia za kisasa katika kilimo ili kuongeza uzalishaji.
3Huduma za UtaliiKutoa huduma za utalii kwa wageni wa ndani na nje ya nchi.
4Biashara ya DropshippingKuuza bidhaa bila kuwa na hisa, kwa kutumia wasambazaji.
5Uuzaji wa Vifaa vya KielektronikiKuuza vifaa vya kielektroniki kama simu na kompyuta.
6Usafirishaji wa MizigoHuduma za usafirishaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi.
7Huduma za Usafi wa NyumbaKutoa huduma za usafi kwa nyumba na ofisi.
8Uzalishaji wa ChakulaKutengeneza na kuuza vyakula kama chips na vitafunio.
9Biashara ya MkahawaKutoa huduma za chakula na vinywaji katika maeneo ya umma.
10Uuzaji wa MifugoKuuza mifugo kama ng’ombe, mbuzi, na kuku.
11Biashara ya UremboKutoa huduma za urembo kama saluni na spa.
12Uzalishaji wa SabuniKutengeneza sabuni za kawaida na sabuni za kuua bakteria.
13Biashara ya Kukuza NyweleKutoa huduma za kukata na kuunda mitindo ya nywele.
14Kilimo cha MbogaKukuza na kuuza mboga za majani na mboga nyingine za chakula.
15Usanifu wa MajengoKutoa huduma za usanifu na ujenzi wa majengo.
16Biashara ya Mifugo ya NyumbaniKukuza mifugo nyumbani kama kuku wa kienyeji.
17Uuzaji wa VinywajiKuuza vinywaji kama juisi na pombe za kienyeji.
18Uzalishaji wa MkaaKutengeneza mkaa mbadala kwa matumizi ya nyumbani.
19Huduma za KisheriaKutoa ushauri wa kisheria kwa wateja.
20Biashara ya Ushauri wa FedhaKutoa ushauri wa kifedha na uwekezaji.
21Uuzaji wa Vifaa vya UjenziKuuza vifaa vya ujenzi kama saruji na vifaa vingine.
22Biashara ya Teknolojia ya HabariKutoa huduma za teknolojia kama ushirikiano wa mtandaoni.

Biashara nyingine mbazo watu Huzichukulia Poa lakini zimewatoa watu wengi Kimaisha

1.Mgahawa maeneo yenye watu wengi mfano masokoni na migodini, Stendi, karibu na vyuo/Hosteli.

2. Udalali ( udalali wa kila kitu)

3. Biashara ya vitafunwa na Bites.

4. Wakala wa kusajili laini za mitandao kama tigo, airtel, vodacom na halotel.
Hii ni biashara ambayo wengi wanaidharau sana lakini ina hela sana kwa mwezi ukipiga kazi vzuri commission inakuja hadi 1m na sio lazima hadi ufanye ww unatafuta vijana wanaingia mtaani. Ukiwa na ofisi maalum ni nzuri zaidi kuliko kuzunguka mtaani pia unaweza ongeza uwakala hapo
.
5. Bishara ya matunda.
.
6. Biashara ya Carwash ( Hii inahitaji mtaji mkubwa wa mashine na eneo)

7. Kuuza Rasta. Hasa utoe Chimbo/direct kiwandani kama una mtaji mkubwa.

8. Kuuza supu ya kongoro jioni.

9. Wakala wa mabus ( pesa kubwa kwa sasa iko kwenye mizigo)

10. CD 💿 library hasa maeneo ya uswahilini.
.
11. Mihogo mashuleni hasa shule za serikali.

12. Genge

13. Upigaji wa picha (Photography)

14. Kibanda cha Chips

16. Ufundi

17. Mishikaki.

18. Uuzaji wa Nguo za ndani.

19. Uuzaji wa vifaa vya simu.

20. Uuzaji wa simu ndogo za batani hasa vijijini na wilaya zenye maendeleo ya kati.

21. Biashara za ushonaji.

22. Biashara ya Dagaa

23. Biashara ya usafi.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.