Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania
Biashara

Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania

BurhoneyBy BurhoneyMarch 13, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania
Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kila siku tunatumia Nishati ya umeme majumbani kwetu au viwandani kwene shughuli zetu za kila siku lakini wengi wetu linapokuja kwenye swala la gharama tunakuwa sio wafuatiliai wa gharama husika hasa kujua gharama ya kila unit moja tunayoitumia kupitia Makala hii tunakusanua kuhusu bei ya unit moja.

Bei za Umeme kwa Makundi Mbalimbali ya Wateja (Unit Moja ya Umeme Shilingi Ngapi)

Kwa mujibu wa Sheria ya EWURA, Sura ya 414, na Sheria ya Umeme, Sura ya 131, bei za umeme nchini Tanzania zimeidhinishwa na EWURA na ni kama ifuatavyo:

Bei za Umeme kwa Makundi Mbalimbali ya Wateja

D1: Wateja wa Majumbani

  • Bei ya Nishati (0 – 75 kWh): TZS 100 kwa kWh
  • Bei ya Nishati (Zaidi ya 75 kWh): TZS 350 kwa kWh

Wateja hawa ni wale wanaotumia wastani wa unit 75 kwa mwezi. Matumizi yatakayozidi unit 75 yatatozwa bei ya juu ya TZS 350 kwa kila unit inayozidi. Umeme unatolewa katika msongo mdogo wa umeme kwenye njia moja (230V).

T1: Wateja wa Kawaida

  • Bei ya Nishati: TZS 292 kwa kWh

Wateja hawa ni pamoja na wateja wa majumbani, biashara ndogondogo, viwanda vidogo, taa za barabarani, na mabango. Umeme unatolewa katika msongo mdogo wa umeme kwenye njia moja (230V) na njia tatu (400V).

T2: Wateja wa Matumizi Makubwa

  • Bei ya Nishati: TZS 195 kwa kWh
  • Tozo ya Huduma: TZS 14,233 kwa mwezi
  • Bei ya Mahitaji ya Juu: TZS 15,004 kwa kVA/Mwezi

Wateja hawa ni wale wenye matumizi ya kawaida ya umeme kupitia 400V na matumizi kwa mwezi ni zaidi ya unit 7,500.

T3-MV: Wateja wa Msongo wa Kati

  • Bei ya Nishati: TZS 157 kwa kWh
  • Tozo ya Huduma: TZS 16,769 kwa mwezi
  • Bei ya Mahitaji ya Juu: TZS 13,200 kwa kVA/Mwezi

Wateja hawa wameunganishwa katika msongo wa kati wa umeme (Medium Voltage).

T3-HV: Wateja wa Msongo Mkubwa

  • Bei ya Nishati: TZS 152 kwa kWh
  • Bei ya Mahitaji ya Juu: TZS 16,550 kwa kVA/Mwezi

Wateja hawa ni pamoja na ZECO, Bulyanhulu, na Twiga Cement, ambao wameunganishwa katika msongo mkubwa wa umeme (High Voltage).

Umeme wa 5000 ni Unit Ngapi?

Ili kuelewa vizuri jinsi bei ya umeme inavyopimwa, ni muhimu kujua umeme wa kiasi fulani wa fedha ni sawa na unit ngapi.

Kwa mfano, kwa wateja wa kundi la D1, umeme wa TZS 5000 unaweza kua unit 50 ikiwa matumizi ya mteja yapo chini ya unit 75. Ikiwa matumizi ya mteja yanazidi unit 75, bei itakuwa TZS 350 kwa kWh kwa units zinazozidi.

Umeme wa 1000 ni Unit Ngapi?

Kwa wateja wa kundi la D1, umeme wa TZS 1000 unaweza kutoa unit 10 kwa matumizi ya chini ya unit 75. Ikiwa matumizi ya mteja yanazidi unit 75, basi TZS 1000 itakuwa sawa na takribani unit 2.86 kwa bei ya TZS 350 kwa kWh.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.