JIUNGE NASI WHATSAPP
BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM
BOFYA HAPA
Maji ni muhimu katika Mahitaji yetu ya kila siku lakini tulishawahi kujiuliza Mamlka ya maji inapangaje gharama za maji wa Unit 1 na je binadamu wa kawaida anaweza kutumia unit ngapi kwa siku? Tumekuletea muongozo kamili kama ulivyotolewa na Wizara ya maji Tanzania.
Bei ya Unit 1 ya Maji Tanzania katika Mikoa mbalimbali
Pakua Muongozo wa Bei katika PDF
Jinsi ya Kuahamu Bei ya Maji mkoani kwako
Piga *152*00#
Chagua Namba 6 Maji
Chagua namba 2 mamlaka za Maji
Chagua mamlaka yao ya Maji mfano :Mauwasa namba 2
Chagua 4 Taarifa nyingine
Chagua namba 1 Gharama za maji
SOMA HII :Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania
JIUNGE NASI WHATSAPP
BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM
BOFYA HAPA