Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Bei ya TV za Hisense Inch 32 Smart TV Zanzibar na Tanzania
Biashara

Bei ya TV za Hisense Inch 32 Smart TV Zanzibar na Tanzania

BurhoneyBy BurhoneyMarch 19, 2025Updated:March 19, 2025No Comments1 Min Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Bei ya TV za Hisense Inch 32 Smart TV Zanzibar na Tanzania
Bei ya TV za Hisense Inch 32 Smart TV Zanzibar na Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

TV za Hisense ambazo kiwanda chake Kipo China ni miongoni mwa TV Maarufu sana zinazouzika katika soko la Tanzania na hii ni kutokana na ubora wake wa hali ya Juu huku bei ikiwa Rafiki kwa watanzania Tumekudadavulia sifa na bei za tv ya hisence inchi 32.

Sifa za Hisense TV Inch 32 Smart TV

Hisense TV ya inch 32 Smart TV inakuja na sifa mbalimbali zinazovutia, ikiwa ni pamoja na:

  • Teknolojia ya LED: Inatoa picha zenye ubora wa juu.
  • Azimio la HD (1366 x 768): Inahakikisha picha zenye uwazi.
  • Mfumo wa Uendeshaji wa VIDAA Smart: Unawezesha upatikanaji wa programu kama Netflix na YouTube.
  • Wi-Fi Imejengwa Ndani: Inaruhusu kuunganishwa na intaneti kwa urahisi.
  • Vituo vya HDMI na USB: Kwa kuunganisha vifaa vya ziada kama koni za michezo.

SOMA HII: Bei ya TV za Samsung Tanzania

Bei ya TV ya Hisense LED inch 32

Hisense LED ya inch 32 ni TV nzuri ambayo unaweza kununua kwa sasa, TV hii inakuja na teknolojia ya LED na pia ina uwezo wa kuonyesha channel za ndani bure bila kuwa na kisibusi. TV hii inapatikana hapa Tanzania kwa bei ya makadirio kati ya TZS 450,000 – TZS 430,000.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.