Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Bei ya Simu ya Tecno Spark 10 Tanzania
Biashara

Bei ya Simu ya Tecno Spark 10 Tanzania

Bei ya Tecno Spark 10 Tanzania na Tecno Spark 10 Pro, Bei ya tecno spark 10 gb 256 pamoja na Tecno Spark 10C.
BurhoneyBy BurhoneyMarch 13, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Bei ya Simu ya Tecno Spark 10 Tanzania
Bei ya Simu ya Tecno Spark 10 Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Kampuni ya simu ya Tecno walitangaza toleo jipya la simu yao ya Tecno spark 10 mnamo mwezi April 2023 ndipo rasmi iliingia sokoni ,tumekuwekea Bei ya spark 10 katika masoko ya Tanzania pamoja na Sia zake

Bei za Simu Tecno Spark 10

  • Tecno Spark 10
    • RAM: 8GB
    • ROM: 128GB
    • Bei: TZS 350,000.
  • Tecno Spark 10 Pro
    • RAM: 8GB
    • ROM: 128GB
    • Bei: TZS 350,000.
    • ROM: 256GB
    • Bei: TZS 400,000.
  • Tecno Spark 10C
    • Bei ya Tecno Spark 10C haijatajwa kwa uwazi katika vyanzo vilivyopo, lakini inatarajiwa kuwa katika kiwango cha chini ikilinganishwa na Spark 10 na Spark 10 Pro.

Sifa Za Simu ya Tecno Spark 10

Sifa za Tecno Spark 10

Sehemu Za SimuSifa za Simu
Network2g, 3g, 4g
Processor(SoC)
  • CPU – 
  • Core Zenye nguvu(2) –
  • Core Za kawaida(6) –
  • GPU-
Display(Kioo)IPS LCD, Refresh rate:90Hz
Softawre
  • Android 13
  • HIOS 12
Memori128GB, na RAM 8GB
KameraKamera MBILI 

  1. 50MP,PDAF(wide)
MuundoUrefu-6.6inchi
Chaji na Betri
  • 5000mAh-Li-Po
  • Chaji-18W
Bei ya simu(TSH)350,000/=

Simu hizi zinapatikana kwa bei tofauti katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, hivyo ni vyema kuangalia maduka tofauti ili kupata ofa bora.

Yapi Madhaifu ya Tecno Spark 10

Tecno Spark 10 simu ya daraja la chini hivyo changamoto ni nyingi ikitegemeana na aina ya matumizi

Mfumo wa kamera sio mzuri kiujumla

Chaji yake haipeleke kwa kasi kubwa na kwa viwango vya kisasa

Kasi ya chaji ya simu za siku hizi ni wati 25

Kioo inatumia teknolojia ya IPS LCD huku ikiwa na resolution ndogo

Simu haina teknolojia mpya ya mawasiliano ya 5G ikizingatiwa baadhi ya mitandao wameanza kuweka 5G nchini

SOMA HII :  Mfano wa Barua ya kuomba Mkopo Halmashauri

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Jinsi ya Kuanza Biashara ya Hardware: Mwongozo Kamili kwa Mwanzo

November 28, 2025

Gharama za leseni ya biashara

November 28, 2025

Mashine Za Kukamua Alizeti na Bei zake

November 25, 2025

Top 10 best Clearing and Forwarding companies in Tanzania

September 13, 2025

List of clearing and forwarding companies in Dar es Salaam Tanzania

September 13, 2025

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.