Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Bei Ya Friji Za Boss 2025 | Friji Za Boss Na Bei Zake
Biashara

Bei Ya Friji Za Boss 2025 | Friji Za Boss Na Bei Zake

BurhoneyBy BurhoneyMarch 11, 2025Updated:March 11, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Bei Ya Friji Za Boss 2025 | Friji Za Boss Na Bei Zake
Bei Ya Friji Za Boss 2025 | Friji Za Boss Na Bei Zake
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

 

Bei ya friji za Boss hutofautiana kulingana na ukubwa, aina ya friji (model), na muuzaji. Kwa wastani, unaweza  kupata kwa bei kati ya Tsh 300,000 hadi Tsh 2,000,000 kwa friji mpya ya Boss kulingana na ukubwa. HIzi apa chini ndizo bei za friji za boss kwa ukubwa

UkubwaBeiMuuzaji (Instagram Name)
BS70 FRIDGE LITA 60                    345,000kariakoo_mall
Fridge Boss BS LITA 70                    380,000kariakoo_mall
BS70 FRIDGE LITA 90                    410,000Friji_Beipoa
BS70 FRIDGE LITA 100                    450,000og_electronixtz
BS70 FRIDGE LITA 145                    620,000kariakoo_mall
Fridge Boss BS 185                    650,000og_electronixtz

Ni wapi unaweza Kununua Friji za Boss

Friji za Boss zinapatikana katika maduka makubwa ya vifaa vya elektroniki kote Tanzania. Pia unaweza kuzinunua mtandaoni kupitia tovuti za maduka hayo au tovuti za biashara za mtandaoni.

Mambo ya Kuzingatia Unaponunua Friji ya Boss

Kabla ya kununua friji, zingatia mambo yafuatayo:

  1. Ukubwa na Uwezo – Hakikisha friji inakidhi mahitaji yako ya kuhifadhi vyakula.
  2. Matumizi ya Umeme – Chagua friji yenye teknolojia ya kuokoa umeme (Energy Saving).
  3. Aina ya Compressor – Friji zenye inverter compressors zinatumia umeme kidogo na ni tulivu.
  4. Dhamana na Huduma kwa Wateja – Angalia dhamana ya kifaa na upatikanaji wa vipuri.
  5. Bei na Bajeti – Chagua friji inayolingana na bajeti yako bila kuathiri ubora.

SOMA HII :  Bei Mpya ya nyama ya ng’ombe Dar es salaam
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Jinsi ya Kuanza Biashara ya Hardware: Mwongozo Kamili kwa Mwanzo

November 28, 2025

Gharama za leseni ya biashara

November 28, 2025

Mashine Za Kukamua Alizeti na Bei zake

November 25, 2025

Top 10 best Clearing and Forwarding companies in Tanzania

September 13, 2025

List of clearing and forwarding companies in Dar es Salaam Tanzania

September 13, 2025

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.