Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Alama za ufaulu kidato cha Sita
Elimu

Alama za ufaulu kidato cha Sita

BurhoneyBy BurhoneyMarch 3, 2025Updated:March 3, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Alama za ufaulu kidato cha Sita
Alama za ufaulu kidato cha Sita
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Fahamu mchanganuo wa madaraja ya ufaulu kidato cha site (Grading system) kufahamu alama ya ufaulu wako ,Makala hii imechambua alama zote A mpaka F Sambamba na maksi zake.

Alama za Ufaulu Kidato cha Sita

Uchakataji wa matokeo ya Upimaji wa Kidato cha Sita umezingatia viwango vya alama , madaraja ya ufaulu na utaratibu wa matumizi ya alama endelevu (CA) kama ifuatavyo

GrediAlamaUzito Wa Gredi (Pointi)Maelezo
A80-1001Excelent
B70-792Very Good
C60-693Good
D50-594Average
E40-495Satisfactory
S35-396Subsidiary
F0-347Fail

Madaraja ya ufaulu kidato cha Sita

Mfumo wa madaraja ya ufaulu kwa mtihani wa kidato cha sita unabainishwa kwa kutumia mbinu mbili:

  1. Jumla ya Alama (Total Point Grading System)
  2. Divisheni.

Katika mfumo wa Jumla ya Alama, kila somo litakuwa na uzito maalum kulingana na ugumu na umuhimu wake. Alama za mwanafunzi katika kila somo zitazidishwa na uzito wa somo husika, na jumla ya alama hizo zitaamua daraja la mwanafunzi.

Mfumo wa Divisheni unajumuisha kugawa wanafunzi katika makundi (divisions) kulingana na ufaulu wao wa jumla. Kila kundi litawakilisha kiwango fulani cha ufaulu, na wanafunzi watapangwa katika kundi husika kulingana na alama zao. Mbinu hizi mbili hutumika kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa ufaulu wa mwanafunzi unapimwa kwa usahihi na kwa kuzingatia vigezo mbalimbali.

Watahiniwa waliofanya masomo matatu ya tahasusi au zaidi watapata Daraja la I, II, III, au IV kulingana na jumla ya alama zao.

Watahiniwa waliofanya chini ya masomo matatu ya tahasusi watafaulu kwa daraja la IV ikiwa watafaulu angalau masomo mawili katika Gredi S au somo moja katika Gredi A, B, C, D, au E.

SOMA HII :  Chuo cha Ualimu Safina Geita Teachers College Fees (Kiwango cha Ada)

SOMA HII :Jinsi ya kupata passport ya kusafiria na Hati ya Kusafiria

Jedwali lifuatalo linaonesha Madaraja  ya ufaulu kidato cha sita yanayotumiwa na baraza la mitihani Tanzania (NECTA)

DarajaACSEE (K6)Maelezo
I3-9Bora sana (Excellent)
II10-12Vizuri sana (Very Good)
III13-17Vizuri (Good)
IV18-19Inaridhisha (Satisfactory)
020-21Feli (Fail)

Alama za Ufaulu Kidato cha Sita 2024

 

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) Arusha courses offered

December 25, 2025

Mzumbe University (MU)

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Contact Details Number na Address

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Prospectus PDF Download

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Admission Letter

December 25, 2025

Mzumbe University (MU) Joining Instruction PDF Download

December 25, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.