Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma
Elimu

Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma

BurhoneyBy BurhoneyApril 10, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma
Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Hatua kwa Hatua fahamu Jinsi unvyoeza kuangalia Shule za form  five Mkoani Ruvuma na Halmashauri za wilaya zake walizopangiwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2024.

Jinsi ya Kuangalia Selection za Form Five Mkoani Ruvuma

TAMISEMI ndio chombo rasmi kinachosimamia upangaji wa wanafunzi wa kidato cha tano. Kupitia tovuti yao, unaweza kuona shule uliyochaguliwa kwa kutumia jina lako au namba ya mtihani.

Hatua kwa Hatua:

  1. Tembelea tovuti ya TAMISEMI:
     https://selform.tamisemi.go.tz

  2. Bonyeza sehemu iliyoandikwa “Selection Kidato cha Tano 2025”

  3. Chagua Mkoa – Ruvuma

  4. Teua Halmashauri unayotaka kuangalia

  5. Tafuta jina la mwanafunzi kwa kutumia:

    • Namba ya Mtihani

    • Jina Kamili la Mwanafunzi

Mfumo huu utakuonesha shule aliyopangiwa mwanafunzi, tahasusi (combination), na mahali ilipo shule hiyo.

Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma

Mkoa wa Ruvuma una halmashauri mbalimbali zinazoratibu utoaji wa elimu ya sekondari. Halmashauri hizi ndizo husimamia shughuli zote za shule za sekondari, ikiwemo kupanga wanafunzi na utoaji wa taarifa muhimu kwa wazazi.

Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma:

  1. Songea Municipal Council

  2. Songea District Council

  3. Mbinga Town Council

  4. Mbinga District Council

  5. Nyasa District Council

  6. Tunduru District Council

  7. Namtumbo District Council

 Shule za Advance (Kidato cha Tano) Mkoani Ruvuma

Mkoa wa Ruvuma una shule kadhaa za sekondari zinazotoa masomo ya tahasusi kwa kidato cha tano na sita (A-Level). Baadhi ya shule hizi ni za serikali na zingine binafsi, na zinahudumia wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania.

Baadhi ya Shule Maarufu za Advance Mkoani Ruvuma:

  • Songea Boys High School

  • Songea Girls Secondary School

  • Mbinga Secondary School

  • Tunduru Secondary School

  • Likuyuseka Secondary School

  • Lituhi Secondary School

  • Mtipwili Secondary School

  • Lusewa Secondary School

Kila shule ina mchanganyiko tofauti wa tahasusi kulingana na uwezo wake na idadi ya wanafunzi inayoweza kuhudumia.

 Jinsi ya Kupata Form Five Joining Instruction – Shule za Mkoa wa Ruvuma

Fomu ya kujiunga (Joining Instructions) ni muhimu sana kwa mwanafunzi anayepangiwa shule mpya. Fomu hii ina maelezo ya:

  • Tarehe ya kuripoti

  • Mahitaji ya shule (sare, vifaa vya masomo n.k.)

  • Ada na michango

  • Taratibu za usajili na maelekezo mengine muhimu

Hatua za Kupakua Joining Instruction:

  1. Tembelea tovuti ya TAMISEMI:
     https://selform.tamisemi.go.tz/Content/selection-and-joining-instructions

  2. Chagua Mkoa – Ruvuma

  3. Chagua Shule aliyopangiwa mwanafunzi

  4. Bonyeza Download kupakua nyaraka hiyo

 Ni muhimu kusoma kwa makini maelekezo yaliyomo kwenye fomu kabla ya mwanafunzi kujiunga shuleni.

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Kozi Zenye Kipaumbele Kupata Mkopo HESLB Degree na Diploma

June 10, 2025

Vigezo vya Kupata Mkopo Ngazi ya Diploma /Stashahada 2025/2026

June 10, 2025

Mwongozo Jinsi ya Kuomba Mkopo kwa Wanafunzi wa Diploma 2025/2026

June 10, 2025

Form Five Joining Instructions 2025 /2026 PDF Download 

June 6, 2025

HESLB Jinsi Ya Kuangalia Allocation ya Mkopo wako Wa chuo kupitia SIPA Account 2025

June 4, 2025

HESLB SIPA Loan Allocation Status Login 2025 /2026

June 4, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.