Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Biashara zenye faida kubwa mtaji mdogo
Biashara

Biashara zenye faida kubwa mtaji mdogo

BurhoneyBy BurhoneyApril 1, 2025Updated:April 1, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Biashara zenye faida kubwa mtaji mdogo
Biashara zenye faida kubwa mtaji mdogo
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kuna Biashara Ambazo watu wengi huzipuuzia lakini ni Biashara zenye faida kubwa na mzunguko mzuri.Hapo chini nimekuwekea Biashara ambazo ukizikomalia hutojutua kuwekeza muda wako na Pesa.

Biashara hizi hazichangamkiwi sana na wasomi na wenye mitaji mikubwa. Unaweza kuangalia hizi Biashara na Ukaweka nguvu zako..

Orodha ya Biashara Ndogo Ndogo Zenye Faida Kubwa

1.Mgahawa maeneo yenye watu wengi mfano masokoni na migodini, Stendi, karibu na vyuo/Hosteli.
.
2. Udalali ( udalali wa kila kitu)
.
3. Biashara ya vitafunwa na Bites.
.
4. Wakala wa kusajili laini za mitandao kama tigo, airtel, vodacom na halotel.
Hii ni biashara ambayo wengi wanaidharau sana lakini ina hela sana kwa mwezi ukipiga kazi vzuri commission inakuja hadi 1m na sio lazima hadi ufanye ww unatafuta vijana wanaingia mtaani. Ukiwa na ofisi maalum ni nzuri zaidi kuliko kuzunguka mtaani pia unaweza ongeza uwakala hapo
.
5. Bishara ya matunda.
.
6. Biashara ya Carwash ( Hii inahitaji mtaji mkubwa wa mashine na eneo)
.
7. Kuuza Rasta. Hasa utoe Chimbo/direct kiwandani kama una mtaji mkubwa.
.
8. Kuuza supu ya kongoro jioni.
.
9. Wakala wa mabus ( pesa kubwa kwa sasa iko kwenye mizigo)
.
10. CD đź’ż library hasa maeneo ya uswahilini.
.
11. Mihogo mashuleni hasa shule za serikali.
.
12. Genge
.
13. Upigaji wa picha (Photography)
.
14. Kibanda cha Chips
.
16. Ufundi
.
17. Mishikaki.
.
18. Uuzaji wa Nguo za ndani.
.
19. Uuzaji wa vifaa vya simu.
.
20. Uuzaji wa simu ndogo za batani hasa vijijini na wilaya zenye maendeleo ya kati.
.
21. Biashara za ushonaji.
.
22. Biashara ya Dagaa
.
23. Biashara ya usafi.

Soma Hii :Jinsi ya Kutengeneza M-PESA MasterCard

Hizi ni Baadhi tu. Ipi umewahi Kuifanya ikakupatia mafanikio?
Ipi unatamani tuichambue zaidi?

Credit to : Kelvin kibenje

JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Bei Ya Mafuta Ya Parachichi

April 15, 2025

Wauzaji wa ng’ombe wa maziwa Tanzania

April 15, 2025

Bei Ya Ng’ombe Wa Maziwa

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mizigo kwa treni

April 15, 2025

Gharama za kusafirisha mzigo au Bidhaa kutoka Zanzibar

April 15, 2025

Bei ya Simu za Oppo na Sifa zake (Specifications)

April 15, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 135 za Kazi Kilombero Sugar Company Limited 2025

June 6, 2025

Nafasi  850 za Kazi Walimu Somo la Uchumi Daraja la IIIC MDAs & LGAs 2025

June 6, 2025

Nafasi 120 za kazi Walimu Somo la Fizikia Daraja la IIIC MDAs & LGAs 2025

June 6, 2025

Nafasi 700 za Kazi Walimu Somo la Biashara Daraja la III C MDAs & LGAs 2025

June 6, 2025

Nafasi za Kazi Halmashauri Mbalimbali Zilizotangazwa leo Ajira Portal 2025

June 5, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.